Wednesday, May 15, 2013

PROFESA LIPUMBA UNAUSHAHIDI???????Lipumba: Kuna njama za kumwongezea JK muda Share bookmark Print Email Rating Rais Kikwete Na Aidan Mhando na Fidelis Butahe, Mwananchi (email the author) Posted Jumanne,Mei14 2013 saa 20:23 PM Kwa ufupi Nitapenda kuona Rais Kikwete akikataa jambo hilo kwani litachafua taswira ya nchi. Hatua hii ni kinyume cha utawala bora,” alisema Profesa Lipumba. SHARE THIS STORY Tweet 0 inShare Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amedai kuwa amenasa taarifa za siri za kuwapo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani. Profesa Lipumba alisema hiyo inatokana na wasiwasi kuwa mchakato wa Katiba Mpya hautaweza kukamilika mwaka 2014 hivyo kutokuwa rahisi kwa uchaguzi kufanyika mwaka 2015. Akizungumza Dar es Salaam jana, wakati akifungua kikao cha Baraza Kuu la CUF, Profesa Lipumba alisema kuwa Serikali inataka kuongezewa muda wa kukaa madarakani kwa miaka miwili ikimaanisha kuwa Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete itakaa madarakani hadi mwaka 2017. Hata hivyo, madai hayo ya Profesa Lipumba yamepingwa vikali na Serikali na viongozi wake watatu waandamizi ambapo walijibu walipoulizwa kwa maandishi na mwandishi wetu mjini Dodoma wanakohudhuria kikao cha Bunge. Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe alijibu: “Mchakato wa Katiba upo ‘on track’ (unakwenda vizuri) hatuna sababu ya kufanya hivyo.” Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alijibu” “Njooni ofisini kwangu nitasema ni kitu gani.” Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi alijibu kwa utani bila ya kufafanua: “Njooni niwajuze, unajua kamba haitoki Ukambani kama ilivyo kamba.” Profesa Lipumba amemwomba Rais Kikwete asilikubali wazo hilo akisema wananchi hawatakubali na taifa linaweza kuingia katika mtafaruku. “Nitapenda kuona Rais Kikwete akikataa jambo hilo kwani litachafua taswira ya nchi. Hatua hii ni kinyume cha utawala bora,” alisema Profesa Lipumba. Alisema Serikali haipaswi kuhofia uchaguzi kwa sababu ya Katiba kwani bado uwezekano wa kuandaa uchaguzi wa haki na huru unawezekana kwa utaratibu mwingine. “Mchakato wa Katiba unaendelea, Tume ya Mabadiliko ya Katiba inatuambia kwamba mwaka 2014 tutakuwa na Katiba Mpya, sasa CUF tunasema kwamba hata kama Katiba Mpya haitapatikana kwa kipindi hicho kuwe na Tume huru ya Uchaguzi,” alisema Profesa Lipumba. Jukwaa la Katiba kutinga mahakamani 1 | 2 Next Page» DISQUS seems to be taking longer than usual. Reload? Habari Mpya Mbunge aomba maji kwa vijiji 91 vya jimbo lake Kunjua makucha kwa kampuni za simu-Zungu Sh4 bilioni zatumika kwa kilimo Rukwa Serikali yaahidi kugawa mbegu bora kwa wakulima nchini Benki yafungua mlango wa biashara Tanz-China TBS yapanga kufumua matuta yasiyo na viwango Wachimbaji watakiwa kupeleka watoto shule Mifuko yaonywa kunyang’anyana wanachama Mnigeria akamatwa Kia na ‘unga’ JWTZ yatakiwa kuendeleza ubunifu Zilizosomwa Zaidi Bomu Arusha: Mtuhumiwa asomewa mashtaka 21 Lipumba: Kuna njama za kumwongezea JK muda Profesa Kapuya, Kessy watibuana hadharani Kupanua Barabara Dar hadi Chalinze Tume ya Kidato cha IV yatoa mapendekezo Mtoto wa miezi miwili anajisiwa Ngono zembe ilivyokithiri barabara ya kuelekea Zambia Kunjua makucha kwa kampuni za simu-Zungu Polisi 16 mbaroni Dar kwa magendo Facebook, mitandao ya kijamii huathiri watu kisaikolojia Kipanya Leo Mei Kipanya Aprili Kipanya Machi EmailPrivacy PolicyWasiliana nasi RSS

 

 

 

 

Tanzania haitarudi nyuma kwenye kuingilia kati DRC

Na Deodatus Balile, Dar es Salaam

Aprili 23, 2013
Tanzania haitarudi nyuma katika kupeleka majeshi huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kama sehemu ya kikosi cha kuingilia kati cha Umoja wa Mataifa, licha ya maonyo mawili ya maandishi kutoka kikundi cha waasi cha March 23rd Movement (M23), maafisa wa Tanzania wasema.
  • Waasi wa M23 wakiondoka toka milimani tarehe 30 Novemba, 2012, baada ya kuondoka kijiji cha Karuba cha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. [Na Phil Moore/AFP] Waasi wa M23 wakiondoka toka milimani tarehe 30 Novemba, 2012, baada ya kuondoka kijiji cha Karuba cha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. [Na Phil Moore/AFP]
  • Mkuu wa kijeshi wa M23 Jenerali Sultani Makenga (katikati) akiwaashiria baadhi ya maafisa wake karibu na mji wa Sake, mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, tarehe 30 Novemba, 2012. [Na Phil Moore/AFP] Mkuu wa kijeshi wa M23 Jenerali Sultani Makenga (katikati) akiwaashiria baadhi ya maafisa wake karibu na mji wa Sake, mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, tarehe 30 Novemba, 2012. [Na Phil Moore/AFP]
Salva Rweyemamu, mkurugenzi wa mawasiliano wa raisi wa Tanzania, aliiambia Sabahi kuwa serikali ilipokea barua mbili kutoka kikundi cha M23, ambacho kinapigana ili kuiangusha serikali ya Kongo.
Barua ya kwanza ilielekezwa kwa Mwenyekiti Mkutano wa Kimataifa wa Maziwa Makuu, Raisi wa Uganda Yoweri Museveni, na nyakala kupelekwa kwa wakuu wote wa serikali wa kanda hiyo, akiwemo Raisi wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Barua ya pili ilitumwa kwa spika wa Bunge la Taifa Anne Makinda na kutiwa saini na Bertrand Bisimwa, mkuu mpya wa tawi la kisiasa la M23, iliyofika bunge la Tanzania siku ya Jumamosi (tarehe 20 Aprili), vyanzo viliiambia Sabahi.
Katika barua hiyo, M23 iliwataka wabunge wa Dar es Salaam kuishauri serikali dhidi ya kupeleka majeshi huko DRC, na hata kutishia "mauaji" ya majeshi ya Tanzania na wapiganaji wa M23 ikiwa Tanzania itaendelea mbele na upelekaji wa majeshi yake huko.

Kurejesha amani

"Lengo la majeshi ya Tanzania sio kuwaua Wakongo bali kurejesha amani," naibu Spika wa Bunge la Taifa la Tanzania Job Ndugai aliiambia Sabahi. "M23 wataona hili kuwa ni tatizo ikiwa hawataki amani. Hatupeleki askari wetu kwenda kuua au kuuliwa na M23."
Hapo tarehe 28 Machi, Baraza la Usalama la UN kwa kauli moja lilipitisha Azimio 2098, ambalo lilisafisha njia kwa chombo cha kwanza cha kimataifa cha kikosi cha "mashambulizi". Mamlaka ya kikosi hicho cha kuingilia kati, itakayoundwa na vikosi vya askari wa miguu kutoka Tanzania, Afrika Kusini, Msumbiji na Malawi, ni "kuwamalizia nguvu na kuwanyang'anya silaha" wa M23, waasi wa Kongo na vikundi vyenye silaha vya kigeni huko mashariki ya DRC, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Umoja wa Mataifa.
Katika barua ya tarehe 11 Aprili, Bisimwa alionya kwamba M23 itaishinda kikundi cha UN itakachoongozwa na jenerali wa Tanzania.
Mnamo tarehe 7 Aprili, Bisimwa alitoa vikosi kama hivyo kwa majeshi ya Afrika Kusini katika akaunti yake ya Twitter, lakini Afrika Kusini ilisema kuwa itaendelea na mipango yake ya kujiunga na kikosi cha uingiliaji kati cha UN huko DRC.
Kwa majibu ya barua ya Bisimwa kwa Spika Makinda, Azimio 2098 "linabadilisha Misheni ya UN ya Kulinda Amani huko DRC na kuifanya kuwa kikosi cha vita chenye amri ya kufanya operesheni za mashambulizi dhidi ya wananchi wa Kongo".
Bisimwa, ambaye anaushutumu Umoja wa Mataifa kwa kuingilia kati DRC kwa ajili ya kuiokoa serikali ilioko madarakani, kiliapa kuwa vikosi vya M23 vitaishinda kikosi cha uingiliaji kati.
Alisema kuwa anamheshimu sana raisi wa kwanza wa Tanzania, marehemu Mwalimu Julius Nyerere, lakini bado M23 itakuwa haina chaguo jengine bali "kuyaua majeshi ya ndugu zao kutoka Tanzania".
Kanali Kapambala Mgawe, msemaji mkuu wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi la Tanzania, alirudia kusema kuwa vikosi vya Tanzania vinakwenda Mashariki mwa DRC kuleta amani katika eneo hilo.
"Ambapo maisha ya wananchi wa DRC au walinda amani itakuwa katika hali ya hatari, vikosi vyetu vitaokoa maisha na kuwanyang'anya silaha wale wanaosababisha hatari hiyo," aliiambia Sabahi. "Huu ni msimamo na maelekezo kutoka UN."

Vitisho huko nyuma

Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa Bernard Membe aliiambia Sabahi kuwa Tanzania imezowea kupokea vitisho kama hivyo visivyo na msingi kutoka vikundi vya waasi kila mara majeshi yake yanapoingilia kati kuwaokoa watu wasio na hatia.
Kama mfano, alitaja uingiliaji kati kijeshi wa Umoja wa Afrika huko Anjuan, katika visiwa vya Komoro, ambao ulimuondoa madarakani raisi wa zamani Kanali Mohamed Bacar. Licha ya vitisho kama hivyo dhidi ya mchango wa majeshi kutoka Dar es Salaam, vikosi vya Tanzania havikurudi nyuma, Membe alisema.
"Nadhani wao [M23] wangemuenzi Mwalimu Nyerere kwa kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vinasababisha ubakaji uliotapakaa, vifo vya watoto na wanawake, na watu wanaokimbia makazi yao," alisema.
Membe alisema M23 kinapaswa kumaliza uasi wake na kuacha kuua watu wasio na hatia, kwa hivyo kutoipa Tanzania sababu yoyote ya kupeleka kikosi chake DRC.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 1009)

Dislike_icon(127)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Maoni ya msomaji

  • salum
    May 14, 2013 @ 08:34:03AM Kuingilia kati katika suala la kulinda amani nchini Rwanda lilikuwa jambo zuri hapo kabla kulikoni hivi sasa. Kupeleka askari sio jambo baya lakini ikiwa tu tutazingatia mustakabali wa askari wetu, familia zao na faida tunazopata kama nchi katika suala hili. Kujenga heshima na hadhi kwa kiwango cha kimataifa hakuwasaidii wananchi kwa vile tayari wao wanateseka kwa afya duni, hakuna umeme endelevu. hakuna maji safi, kuishi katika eneo lenye mfumko wa juu wa zigo kubwa la madeni na kutoka asasi za fedha. Hili halina msingi, la kipumbavu na fikra duni ikiwa sio kutumika vibaya kwa nguvu kazi na rasilimali zetu.
  • dauson deus
    May 13, 2013 @ 09:49:24AM dar hiyo serikar yet haina huruma maana kira kukicha wanapereka askar naona hii nch bado tunatawariwa mimi dauson kutoka banana
  • mkemia
    May 13, 2013 @ 05:02:31AM ccm wote wezi tu hawana lolote
  • Yonas Laiser
    May 13, 2013 @ 04:35:07AM Hatuna haja ya kuogopa vitisho visivyo na msingi kwani mishen ya Bisimwa ni kuona DRC haijatulia na si rahisi yeye kuamini kuwa yanayoenda kufanywa na majeshi ya Tanzania ni amani irejee,tusonge nbele kuwasaidia ndugu zetu ambao kwenye nchi yao wanaishi kama vile watumwa.....natamani ningekuwa mwanajeshi nijiunge na wenzangu kwenda kusaidia angalau nitajisikia nimefanya jambo kubwa duniani hata Bisimwa wangeniua.
  • faraji salehe ally
    May 13, 2013 @ 02:55:00AM Tanzania tuzidi kuzonga mbele tusitishike nguvu tunanzo akili tunayo tumbambane umoja ni nguvu naliamini jeshi letu nahamini taifa langu mungu ibaliki tanzania mungu mbaliki raisi wetu mpendwa jakaya mresho kikwete
  • Saidi Y.Sheikh
    May 13, 2013 @ 02:29:59AM Amani ni kitu muhimu sana duniani.
  • ELIUD FELIX
    May 12, 2013 @ 11:24:20AM HAO M23 WANGEJUA, WANGETULIA TU ILI AMANI IREJEE NCHINI CONGO KWA SABABU HAWAWEZI KUSHINDANA NA KUSHINDA VIKOSI VYA KULETA AMANI NA VIKOSI VYA SERIKALI NCHINI HUMO!! NAWASHAURI KUWEKASIRAHA CHINI WAACHE KUWATESA RAIA WA CONGO WASIO KUWA NA HATIA HASA WANAWAKE NA WATOTO NA KUEPUSHA VIFO VYA ASKARI WA KUNDI HILO KWASABABU SALAMU YA RISASI HUITIKIWA KWA KIFO AU KILEM!!
  • Emmanuel mushi
    May 12, 2013 @ 05:39:04AM Tanzania tusiogope vitisho vya m23 kwan ndo uoga wao umewaanza.
  • Lukman
    May 12, 2013 @ 04:17:45AM Tafadhali TPDF, msijichukulie kama nyinyi ni jeshi lenye nguvu kabisa kwa kutumia rasilimali zetu za taifa kuanzisha uadui na majirani zenu. Wakati wananchi wenu wanaishi chini ya mlo mmoja kwa siku, magonjwa mengi, upatikanaji maji mbovu, mnapaswa kuwasaidia kwa ushauri wa kidiplomasia kwa ajili ya ufumbuzi kama tulivyokuwa tunafanya muda mrefu huko nyuma. Kongo sio Anjuani. Kuna nchi zilizoendendelea na makampuni makubwa ya kimataifa yenye maslahi kule na hawataki kuona amani inakuweko ili waweze kunyonya rasilimali za DRC. Lakini ikiwa mnajichukulia kama wapiganaji shujaa, WAKATI NDIO UTAAMUA
  • jackson fredy
    May 12, 2013 @ 04:14:33AM Ninaiombea Tanzania amani na upendo
  • Farid Maridadi
    May 12, 2013 @ 04:10:04AM Big up TPDF tunawaombe dua Mungu atawapa ushindi ila nanyi jikazeni na Serikali ya Tz tuwape support yoyote wanayo ihitaji TPDF.
  • Farid Said Abdulla
    May 12, 2013 @ 03:56:51AM T.P.D.F asanteni sana tunakuaminini na musituangushe. Sabahi tunashukuru kwa kutupa habari zilizo sahihi.
  • Jastini Jorned
    May 11, 2013 @ 10:48:00PM Hicho kikundi hakina chao
  • magai massau
    May 11, 2013 @ 10:09:35PM lengo ni kujenga Africa yenye amani na bila kuondoa ugaidi amani haitapatikan hivyo basi vijana wazidi kusonga mbele katika zoezi hili la kuwamaliza hawa waasi wa M23. ila pia me nina wasiwasi na mh. KAGAME. kama yeye hausiki katika hili la M23.
  • Godfrey
    May 11, 2013 @ 02:56:09PM Tanzania nendeni mkawakoe wenzetu,Kongo.
  • BEVE TINKALIGAILE
    May 11, 2013 @ 02:01:04PM Si lazima sana kila kitu kinachofanya na majeshi yetu kitanganzwe na vyombo vya habari.Maana si mataifa yote wanapenda kuona majeshi yetu yanafanikiwa.Wanaotaka waonekane vijogoo wanaweza kututikisa siku moja.Kupoteza maisha ni kitu cha kawaida na kuambiwa ni uzembe kazini ni kitu cha kawaida.Tuwaombee wamalize kazi yao salama.Amana
  • jumapilimeshaki
    May 11, 2013 @ 01:29:31PM naikubali hii
  • selemani malinda
    May 11, 2013 @ 09:24:53AM napongeza sana kwa taarifa bomba na motomto
  • Iman M. Mwakyeja
    May 11, 2013 @ 08:50:23AM Daima hata Mungu wetu hupendda watu waishi kwa amani. Binafsi naunga mkono decision ya UN armed forces pamoja na majeshi ya Tanzania yakiongozwa na jenerali Mwakibolwa. Amen.
  • Mugizi Mugolozi
    May 11, 2013 @ 07:26:23AM Hakuna nchi inayomiliki jeshi la M23,hao ni waasi hivyo wanastahili kuasiwa vilele kwa kuwa wanawauwa raia wasio na hatia na kuwabaka hakina mama ikibidi. Ongela Tz kwa hilo.
  • Juma Athuman
    May 11, 2013 @ 06:25:22AM Hongera membe kwa kuwa na roho ya uruma na kupeleka majeshi DRC kwa ajili ya kuokoa watu awasiokua na hatia.
  • Mweha Hamran
    May 11, 2013 @ 05:30:35AM Sisi baadhi ya watanzania tusiongee kana kwamba tutakuwa na amani siku zote, kuna nchi zilikuwa na amani na ikavurugika kwa hivyo kutoa msaada ni jambo la msingi kwani hujui ni lini yatatukuta kama hayo ya DRC. Hongera sana Tanzania kwa kuguswa na matatizo ya majirani zetu ambao pia kuna baadhi ya familia za kitanzania zina udugu wa karibu sana nao.
  • ben
    May 11, 2013 @ 04:51:13AM Jambo ni moja, aluta kontinua mungu mbele.
  • Kido Dar.
    May 11, 2013 @ 03:22:50AM Ni poa ikiwezekana waende wanajeshi wote waliopo Tanzania maadamu UN wanagaramia.
  • jumanne njuze
    May 11, 2013 @ 01:39:58AM unajua tanzania inampenda kujitolea sana je nchi yake imeachaje juma hapa ndo mwanzo pakutokea ugaidi
  • MSHIKANA THEMBELE
    May 10, 2013 @ 03:45:21PM TZ.HOYEEE.WAKONGO WAMECHOKA NA VITA,SASA NIWAKATI WAKULETA AMANI INCHINI D.R.C.NAFIKIRI KWAMBA JESHI LA TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA WANA INCHI WA CONGO KUNAWEZA LETA SURA ZURI YA KULETA AMANI INCHINI CONGO. ILA CONGO NI INCHI YA ASALI NA MAZIWA; UKIFIKA UNANOGEWA.
  • joshua moses
    May 10, 2013 @ 12:54:52PM TPDF! mubarikiwe na Mungu aiimarishe njia yenu katika kuwasaidia Wabantu wa DRC. Hata hivyo, mpaka wa Tanzania na Rwanda na Uganda unahitaji ulinzi mkubwa sasa.
  • Emanuelmadafa
    May 10, 2013 @ 11:36:25AM Tanzania ndio tumaini peekee kwa wananchi wa drc,tutashinda hao wauwaji na wenye uchunwa madaraka
  • tumaini sanga
    May 10, 2013 @ 09:21:41AM ewe Tanzania ondoa borit lako ndipo utoe kibanzi cha jiran yako.
  • David Shayo
    May 10, 2013 @ 08:16:37AM Ni sawa lakini tusipende kufanyia kazi mazoeya kama alivyosema Waziri Membe kwamba ni kawaida vitisho kutolewa. Tusivizoee hivyo vitisho vya waasi (wapiganaji) tukaona kuwa ni kawaida kama alivyosema Membe. Bali tujiwekee ulinzi bora na mahiri saa zote kwani hata matukio yanayoendelea kutokea Tanzania hata saa hivi ni ya uvunjifu wa Amani kabisa. kwa hiyo tusifanyie kazi mazoea tuelewe na kufafanua kila kauli ya uvunjfu wa amani inayotolewa na mtu yeyote awe Mwasi (M23) au hata mzawa kwani zote zina implication kwa raiya wote. Tujijengee uwezo wa kwenda Mbali zaidi ya kile tunachokiona na kukisikia kwa marefu na mapana kwani anayetoa vitisho huwa kadhamiria jambo la kufanya. Naomba tusijenge hoja zisizo za msingi. Swala la ulinzi ndani na nje ya nchi yapewe kipaumbele na pia Watanzania wote wapewe elimu hata kupitia vyombo vya habari kwamba ulinzi na usalama ni Jukumu la kila mtu ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa za matukio yote ya vitisho vya uvunjifu wa amani kwa vyombo husika vya ulinzi na usalama pindi yanapotokea pasipo kuchelewa (within 24hrs).
  • John P. Kaduy
    May 10, 2013 @ 06:46:16AM Endeleeni Tanzania na mrejeshe amani, msisikilize vitisho vya M23. Songa mbele
  • Ezekiel Madindula
    May 10, 2013 @ 05:47:57AM Hilo ni KUNDI LA WAHUNI(M23),kwa hiyo Serikali yetu inafanya vizuri kwenda kuwasidia watu.
  • Jonas Mugendi
    May 10, 2013 @ 04:41:55AM Hao M23 wasikimbilie kutoa vitisho, wakubali kukaa meza moja ya mazungumzo na Serikali ya Kinshasa ili kumaliza tofauti zao
  • petro nyankoi
    May 10, 2013 @ 03:50:03AM Mapigano yaendelee kama walivyodhamilia kuwasaidia congo.
  • Odilo
    May 10, 2013 @ 03:18:28AM Kuhusu makal hii naona kuwa hao M23 wanajaribu kutoa woga wao kwa mdomo. Askari shupavu hawezi kutoambinu zaha mtema kunike. Sisi kama Tanzania ni silent Bull. Kama anadhanikuwa vitsho vyake ni mali akamuulize Mrno alivyokimbia kule Msumbiji, Ama kama hajui amtafute Ghadafi amabaye ni marehemu alivyojaribu kutoa masaa 48 kwa Mwalimu kuondoa askari wetu ndani ya Uganda ali Amini asiadhibiwe kwa dhambi zake. Ahjaribu akione cha mtema kuni.
  • Baraka
    May 10, 2013 @ 03:07:55AM UN jitayarishe
  • JOSEPHAT GOWELE
    May 10, 2013 @ 02:09:08AM NI JAMBO JEMA KUMPA JIRANI YAKO AMANI ILI NAWE UWE NA AMANI NYUMBANI KWAKO.
  • Taitas Maurus
    May 10, 2013 @ 12:49:55AM M23 wapi fit kidogo so jeshi letu linapaswa kujizatiti viluvyo na pia mipaka yetu iimalishwe kwani lolote laweza tokea?? Ukishakua. Na adui inakupasa kua makini mda wote? M23 wapo vitani miaka mingivna pia wanaweza kujiunga na vikosi vingine ambavyo vimetapatakaa DRC na nchi inazopakana nazo ,
  • Dotto
    May 9, 2013 @ 05:23:52PM Ninaogopa sana.
  • moi
    May 9, 2013 @ 01:33:20PM yaan mabomu yanatuteketeza lakin tuna jifanya kusaidia wengine .pole sana wasomi ambao bado mna akili kama ya MANGUNGO .
  • mandela charles mwambalaswa
    May 9, 2013 @ 11:53:01AM tuna shukuru sana kwa jeshi letu la tanzania kujitoa kishujaa kwenda kusaidia congo mungu awalinde na kuwa tangulia
  • Chikombile
    May 9, 2013 @ 11:34:46AM Swala la Kongo ni jinamizi kubwa sana Afrika, kwanini; Mali na Utajiri mkubwa sana duniani, kwa hali hii, sioni kama kutakuwa na kiongozi mwafrika atakaeweza kutawala hii nchi. maeneo yake makubwa, umaskini kibao kwenye mali chopo chopo. Kumbukeni, TZ itakua nchi nyingine kama Uganda, Rwanda,Zimbabwe, Angola.....na zingine nyingi zilizo nyonywa kwenye kilindi hiki, mpaka ilifika Waganda wakaanza kuchapana na Wa nyarwanda kwenye nchi ya wenyewe!!!!!!, yoote sababu ya mali!!!!. Tujiulize kwanini vita vya kongo kusini HAVIIISHIII????? kwanza , kabla ya kujiingiza kwenye SHIMO!!!
  • baraka batholomayo kitandu
    May 9, 2013 @ 10:58:00AM ilo nijukumu letu sote kuwasaidisa waafrika wenzetu majeshi yetu ya tanzania nauhakiks tunawaweza umakin kwa sana nawakubal wakal
  • masomo yetu
    May 9, 2013 @ 09:39:58AM Moto mbele, hakuna kurudi nyuma. M23 watambue kile kilichokwishawapata wakaidi wenzao kama kina Barcar, Wareno, makaburu, Idd Amin na wapuuzi wengine wengi. JWTZ haitishiki. Ina nguvu na weledi wa kutosha. Viva Tanzania, Viva Africa!!
  • nimla fransis
    May 9, 2013 @ 09:00:56AM Tanzania imeingia katika rekodi mpya ambayo haikutarajiwa na mtu yeyote kuwa jambo lile lingeweza kutokea pale olasiti katika mazingira kama yale ya kuhuzunisha na kusikitisha kiasi cha kutufanya watanzania hasa wakazi wa Arusha na hususani waamini wa dini ya kikristo kupoteza imani kuwa sehemu zao za kuabudia si mahala salama kamwe. Suala ni hili ni kwanini matukio hayo ya mashambulizi yanaliandama sana kanisa katoliki na sasa imekuwa mfululizo hasa ukiambatanisha na yale matukio yaliyotokea kule Zanzibari. Napenda kutoa angalizo langu kea jeshi la polisi Tanzania mimi na wale tunafuatilia mwene- ndo wa kiutendaji wa jeshi letu ni wazi kuwa polisi wetu wameachwa nyuma na hali halisi ya mambo yanavyo kwenda kwa sasa, mimi ni mmoja wa watu wasioridhishwa na utendaji wa wa jeshi la polisi Tanzania, Polisi wetu wanaangalia sana maslahi yao binafsi kuliko kuangalia maslahi ya nchi wanafa nya mashindano ya kujenga nyumba na kununua magari kuliko kuangalia wajibu wao wa kulinda raia na mali zao,Polisi ndio wanao sababisha raia wa kigeni kuigeuza Tanzania kuwa uchochoro wao wa kupita na kufanya uhalifu.
  • mwivano
    May 9, 2013 @ 07:20:09AM watanzania tuwaombee ndugu zetu wa m23 ili wabadilishe msimamo wao na waungane na wenzao na kuwa kitu kimoja
  • Godlisten ngowo
    May 9, 2013 @ 07:18:50AM ni muhimu kutoa msaada kwa wasiyo asi
  • seiffu am
    May 9, 2013 @ 07:06:35AM wasomar. wawe kwechin kisha waerimishe jita hdny
  • Dotto Joseph
    May 9, 2013 @ 03:01:13AM Ndio marais wa mikoa ni vizuri kualikwa ili kuonyesha ushirikiano mzuri ktk utendaji kazi, au uongozi kwa ujumla
  • Junior Johns
    May 8, 2013 @ 01:54:46PM Piga ua hao wehu wa M23 JWTZ KEEP UP!!!
  • Figen E, Mpongo
    May 8, 2013 @ 12:06:16PM Mimi ninawasiwasi na Tanzania kwa kuingilia mgogoro wa Wakongo, hasa pale Tanzania anaposhirikiana bega kwa bega na Mmarekani ambaye,(akiwa katika dimbwi la mawazo ya kunusuru uchumi wake na kulipa madeni aliyo jiingiza katika vita vya Iraque na Afulganistan na pengine pengi) hana mpango wala huruma na AMANI(Utu na Uchumi)ya WAAFRICA hata chembe.Naomba kama Tanzania anaingilia kati aingie kwa ADABU na UANGALIFU zaidi asije kuwa chanzo cha kuvuruga uhusiano wetu mzuri tulionao na Wakongoman.
  • OMWAMI KABULA
    May 8, 2013 @ 09:35:19AM TANZANIA NI LAZIMA TUJIFUNZE MAMBO YA KIPAUMBELE.TUNASHIDA SANA WANANCHI WA TANZANIA.HALAFU VITA SI LELEMAMA,UNAWEZA KUFIKIRI UTASHINDA BADALA YAKE UKAJUTA KWANINI UMEENDA VITANI.MAMBO YA WAKONGO TUWAACHIE WENYEWE.HII NI SAWASAWA NA KUWACHAGULIA WAKONGO RAISI WA KUTAWALA.WANANCHI ZAIDI YA NUSU,HAWAUPENDI UTAWALA ULIOPO NA WANAWAUNGA MKONO M23.TUSIPENDE KUINGILIA MAMBO YA NDANI YA NCHI NYINGINE.MFANO WA MALI,YAANI MPAKA WATAWALA WA ZAMANI WA MALI WALIENDA KUPIGANA VITA.KAMA WAKONGO WAMECHOSHWA NA UTAWALA ULIOPO,TANZANIA INAINGILIA KWA NINI?
  • semsa
    May 8, 2013 @ 07:14:08AM tuachane na hayo mambo muda wa mapgano umepta tuwaze uchum
  • william musabi
    May 8, 2013 @ 05:01:15AM Hawa waasi M23 kuna mataifa ya nje yanayo wachojea au kuwapatia silaha kupata jeuri ya kuamua kuua watu wengine wasiona hatia na kisa kuja kuchua rasrimali ya DRC, Wapatiwe msaada wa kijeshi.
  • festo matongo
    May 8, 2013 @ 01:20:56AM jeshi la Africa liko wapi?
  • TEOPHIL
    May 7, 2013 @ 05:00:40PM Membe songa mbele usiogope makuruta hao
  • samwel ng"wamkai
    May 7, 2013 @ 12:59:53PM tanzania tunapaswa kuwa makiani
  • jipe sanga
    May 7, 2013 @ 12:33:58PM majanga hatutaki, ni jambo jema sana kwa watanzania kuasidia nchi zingine kama congo.
  • Abedi
    May 7, 2013 @ 10:24:29AM Serikali zetu zinapaswa kuwa na tahadhari na misaada kutoka nje, ndiyo inayotuua kwa sababu silaha zinaingia kupitia mlango huo zikiingizwa ndani kuwasaidia waasi. Watu wa Kongo wanapata wapi silaha? Kwa nini wasizingirwe na kuvamiwa na kuzuwia silaha zinazoingia?
  • kaka mkubwa
    May 7, 2013 @ 09:09:12AM fuck them all M23. ukiuwa kwa upanga unauwawa kwa upanga... JW Chakaza ao M23 Faster then come back to me niwaambie cha kufanya apa TZ. maana huu ufisadi ni noma... foleni haitembei, umasikini wa kutisha, kila kitu kimebinafsishwa JW ebu angalieni vizuri ayo magwanda hayana nembo NGO ya makaburu? membe na jk mkumbuke kusaidia na wananchi wenu sio kusaidia tu nje mnasahau nyumbani tuna matatizo ya kufa mtu. na mkae mkijua kabisa utawala wa HIKI CHAMA umekwisha kwa matatizo haya watanzania...
  • HASSAN MUSSA ZANZIBAR
    May 7, 2013 @ 05:20:31AM MSIMAMO NDIO HUOHUO FYEKA ADUI TU
  • Mhando Abel
    May 7, 2013 @ 03:54:59AM Tumechoshwa na habari za Kongo na Somalia naona sasa huenda muafaka ukapatikana sehemu nchi zote mbili nafikiri hata wananchi wa maeneo hayo watafurahi baada ya muafaka kupatikana, Mungu awasaidie hilo lifanikiwe
  • alex
    May 7, 2013 @ 03:53:52AM KWANINI SISI WATANZANIA TUNAPENDA KUMTUMIA BABA WA TAIFA KAMA CHAMBO WA KUMUEZI? TUNAINGIA DRC KWA FAIDA YA NANI? HIYO GARAMA YA WANAJESHI WETU ANALIPA NANI MBONA HATUAMBIWI WATANZANIA? JE UHAI WA WANAJESHI WETU UNAWEZA KULINGANISHA NA URAFIKI WA KABILA? MFANO MZURI COMORO HADI LEO MZOZO UPO.TUACHE SIASA UGOMVI WA NDANI WANAMALIZA WENYE NYUMBA SIO JIRANI.TUSIANZE KUTAFUTA MAADUI MALAWI HATUJAMALIZANA TUNAANZA DRC NI VIRURI KUSHUHULIKIA MASWALA YA WANANCHI Hibo fikiria Petroli,diesel na mafuta ya taa bei juu,umememaji na mafuta ta kupikia hali kadhalika, kodi ya nyumba balaa mchele na nyama usiseme makanisani sadaka juu wanataka noti tu mahari/posa nazo hatari,school fees utadhani unanunua shule,nauli za mabasi ndio balaa Tv kila mwezi kulipia sasa vita vya DRC vyote mzigo wa Mtanzania. Hayo ndio maisha bora kwa Mtanzania mnatupeleka wapi?
  • WILLIAM TARABA
    May 7, 2013 @ 02:56:43AM NASHUKURU KWA AZUMIO LA SERIKALI YA RAISI JAKAYA KIKWETE LENYE LENGO LA KUOKOA WANANCHI WASIO NAHATIA NA KUDUMUSHA. SAFI SANA WAZIRI MEMBE.....
  • aliseif
    May 7, 2013 @ 02:00:18AM Tz, nimeipenda hiyo. Vizuri. Endelea
  • Japhary
    May 7, 2013 @ 01:01:32AM Sioni sababu ya M-23 kusema wanamheshimu hayati Julius Nyerere wakati wanamchukiza MUNGU kwa kuua watoto wanawake na watu wengine wasio na hatia
  • JOHN NGOWI
    May 6, 2013 @ 05:54:28PM tanzania tusumbuka kutoa majeshi yetu njee kwawenzetu .si wananchi tunazidi ishi kutokuwa na amani.....
  • nassary elirehema
    May 6, 2013 @ 03:46:17PM itakua aibu kubwa kama Tanzania tutarudisha majeshi yetu nyumbani eti kwa kutishiwa na M23, tuungane na wenzetu wa msumbij, Malawi na afrika kusini kurejesha amani kwa wananchi wa DRC,
  • MW.STEVEN E.CHALLE
    May 6, 2013 @ 02:06:43PM majeshi ya Tanzania yawe na msimamo kwani wanaouawa kongo ni ndugu zetu.kalindeni amani mungu atawapigania.m23 wanamheshimu Nyerere,wayaheshimu pia maisha ya upendo,undugu,na amani ambayo Nyerere aliyaishi na kuyapigania,haki kwa waafrika wote.
  • denis bongole
    May 6, 2013 @ 08:43:08AM achaneni na hayo mambo tuijenge kwanza tanzania, ni jambo la aibu sana ulinzi wa ndani umewashinda leo munashadadia kwenda DRC jana arusha achilia mbali viongozi wa kidini walioshambuliwa kipind cha miezi ya nyuma. alafu pia munaoratibu mpango wote wa kwenda drc ni wanasiasa wakiongozwa na membe sasa hapa siwaelewi. ninyi Wake zenu watoto na hata ndugu zenu wuna uhakika wa ulinzi na amani hata kama m23 wataigeukia tanzania kwani muna mapesa toka kwenye posho na ufisadi ambao kuudhibiti mumeshindwa, je, sisi tusio wabunge waala ndugu zetu hawana nafasi serikalin na ulinzi wetu na neema ya mungu tu? wanajeshi mia nane si mchezo kuwagharamia munaonaje mkaitumia iyyo hela kutoa huduma za maji umeme elimu bora na kudumisha amani ndani ya nchi yako Tanzania? najua munajiona jeuri hivyo mutapuuza ila angalizo, SHERIA ZA KIMATAIFA HAZIRUHUSU NCHI INAYOPAKANA NA NCHI YENYE MGOGORO KUPELEKA VIKOSI HUKO, KIMBELEMBELE CHA TANZANIA NI CHA NINI?
  • justine lukwele
    May 6, 2013 @ 05:56:10AM AFRICA ni ya WAAFRICA na jukumu la kulinda AFRICA ni jukumu la wote hongera waziri wetu kipenzi MEMBE na wadau wengine kwa kuliona hili mm nipo nyuma ya hili kama mtanzania mwenye uchungu wa ndugu yetu JOSEPH KABILA
  • Saida
    May 6, 2013 @ 02:51:45AM Itakuwa bora zaidi ikiwa Tanzania itakaa chini na kushughulikia matatizo yake kwanza, huduma duni za tiba, elimu duni, kiwango cha juu cha ukosefu wa ajira, kiwango kikubwa cha ufisadi... tena kwa nini ipoteze pesa kwa kugharamia vita na kupoteza wakati....inashangaza
  • william joho
    May 6, 2013 @ 02:06:56AM mimi kama mtanzania tanzania isirudi nyuma
  • titi
    May 5, 2013 @ 11:32:58PM Nenda Tz, nenda!!!!! Nenda na hakikisha kuwapiga waasi na wafuasi wao. Mungu yuko upande wenu!
  • rashid mnenje
    May 5, 2013 @ 12:22:06PM m 23 hayo ni maneno ya mfaa maji daima haishi kutapatapa.mtajiju mtaipenda jwtz.
  • EPHRAIM KIKULWE
    May 5, 2013 @ 09:01:40AM SAFI SANA WAZIRI BERNARD MEMBE KWA KUWARUHUSU ASKARI WETU KWENDA KUWAOKOA WATU WASIO NA HATIA
  • sebastian jokimu
    May 5, 2013 @ 04:10:52AM Hii nchi ya kongo inaonekana kua nauasi kila mara hii inatokana na nini?hapa ikumbukwe kua kongo ninchi inayoonekana kua na utajiri mkubwa wa madini,mifarakano mingi katika nchi za kiafrika ni namna yakunufaika na utajiri uliopo katika nchi.pale drc inaonyesha wazi kua kinachotakiwa wagongo wenyewe kukubaliana namna yakuijenga nchi yao.kongo inaonekana kua na marafiki wengi lakini wasiotaka kuutatua mgogoro huo ipasavyo.
  • john
    May 5, 2013 @ 02:32:51AM Na maslahi yanakuwa nini kwa faida ya taifa? Tuna vipembe vingi vya wasiwasi vinavyoathiri Afrika Mashariki kama Somalia na Pembe ya Afrika ambako maharamia wanafanya safari zetu za meli kuwa ngumu. Kongo isiwe katika maslahi binafsi ambayo hayajulikani wananchi wa chini kabisa.
  • Danny Richard
    May 4, 2013 @ 10:57:57PM M23 me simo me mwenyewe mgeni tu Tanzania nikisha toka ndo muwapige vibom na wao na hasa wale wa CCM am out M23 haki ya mtu huwahaipotei hucheleweshwa tuuu
  • william t laizer
    May 4, 2013 @ 03:51:44PM very good kila la heri jk
  • mwanaharakati
    May 4, 2013 @ 03:39:08PM Tuwe makini na suala hili. Yawezekana kabisa nchi kama rwanda pia inawaunga mkono m23. Kwa mantiki hyo wanaweza kupewa silaha na misaada mingine
  • Bro Alex
    May 4, 2013 @ 03:29:49PM M23 wanataka kula tu. Ningewashauri kuwa njia wanayotumia sio sawa, Watumie njia ya kisiasa. Yaani M23 kiwe chama cha kisiasa. na sio kama wanavoitwa sasa KUNDI LA WAASI WA M23.
  • mkali
    May 4, 2013 @ 02:52:57PM Ni bora kupeleka majeshi DRC kwa sababu hali hiyo inaweza kusababisha tatizo kwa Tanzania
  • njovu
    May 4, 2013 @ 01:42:15PM Tanzania nendeni na muwasaidie watu wa DRC, wanakufa.
  • GodJay
    May 4, 2013 @ 11:52:54AM Hizo Ni Kelele Za Chura....!!! Selikari Wapelekeni Hata JKT Wakawafunze Kuishi Kwa Amani Hao M23.
  • GodJay Maziba
    May 4, 2013 @ 11:29:58AM Mfa Maji Haishi Kutapatapa, Hizo Kauli Ni Za Kujihami Tu Kwa Mdomo. Selikari Wasaidieni Wenzetu, Nina Uhakika DRC Nzima Pamoja Na Hao M23 Hawana Uwezo Wa Kupigana Na Tanzania Hata Kama Wataungana. Tanzania Mabomu Yamekaa Siku Nyingi Mno Kayatumieni Huko Kwa M23 Iwapo Wataleta Jeuri, Yasije Yakalipuka Tena.
  • Thomas Haule
    May 4, 2013 @ 08:52:25AM Mwalimu J.K.alituachia usia katika Imani yake kwamba uhuru wa Tanzania hautakuwa umekamilika kama bado kuna nchi ya waafrika bado inakandamizwa na mabeberu au vibaraka wao. Ili tuwe na amani na uhuru ni lazima Tanzania ihakikishe katika DRC kunapatikana amani. Ndivyo tulivyoahidi tangu siku ya uhuru 9 Desemba 1962, na ikatekelezwa Msumbiji, Angola, Zimbabwe,Namibia, Afrika Kusini, Uganda, Seychelles na hivi karibuni Komoro. M23 wasubiri kusambaratishwa katika muda wa siku chache tu.
  • sweetbert
    May 4, 2013 @ 06:12:26AM chezea Tanzania wewe Betina (hakuna cha m23 hapo)
  • Hussein
    May 4, 2013 @ 01:56:17AM Sioni sababu ya tanzania kuingilia kijeshi nchini tuna matatizo mengi yanayotukabili nchini. Yasije yakatukuta kama jirani zetu wa KENYA.
  • lucas mgaya
    May 4, 2013 @ 01:45:28AM Tumsaidie rafiki wetu DRC KONGO, ni rafiki yetu tangu PATRICE LUMUMBA, aliyekuwa waziri mkuu wa Zaire. Kwa hivyo ni jukumu letu kuwalinda watu wa KIVU. KAGAME na MUSEVENI tayari wamekana hawawafadhili M23 kwa hivyo, hatutakuwa katika mzozo na marafiki zetu Marais wa AFRIKA MASHARIKI pamoja na Raia wa Nchi za Afrika Mashariki.
  • Issaya Rutta
    May 3, 2013 @ 10:24:46PM Nimeipenda
  • juma mohamed tabora
    May 3, 2013 @ 04:50:30PM MAKALA HIHI NI NZUli cha msingi NI kwenda kwa nidham
  • shaaban masoud shaaban
    May 3, 2013 @ 11:40:06AM wacha watanzania tukawakomeshe hao waasi wa m23 maana wamesha zoea kudekezwa.
  • Lugy watson
    May 3, 2013 @ 10:07:53AM Tanzania hali yetu si shwari ususani katika hali ya uchumi hivyo basi kuingilia kati migogoro nchini Congotunaweza sababisha mtafaruku nchini kwetu tusiseme ni vitisho tu muda mwingine itakuja itokee, na ndivyo tutazidi didimia kiuchumi, kinachotakiwa tupambane na umaskini na sio kuingilia mambo ya wengine
  • mseti junior
    May 3, 2013 @ 06:29:53AM askari wa Tanzania wanamafunzo ya kutosha na vita ya msituni (jungle warfar)?Tanzania desert,au semidesert ndiyo vita yao kama wanamafunzo ya vita ya misituni na waende
  • Rashid Kazumba
    May 3, 2013 @ 05:33:05AM KWANZA KABISA HIZI HABARI ZA "JWTZ" KWENDA KONGO DRC, NIMEZIPOKEA KWA FURAHA KUBWA MNO, TENA NAFIKIRI TUMECHELEWA. JAMANI LAITI MGEJUA HAWA MBWA 23, UNYAMA WANAOUFANYA KULE KONGO DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE...! TUNGESEMA MAJESHI YETU SASA HIVI YAONDOKE KWENDA KUMALIZA HILI TATIZO. JESHI LETU LA JWTZ NI JESHI KUBWA, IMARA, NIDHAMU YA HALI YA JUU NA LA KISASA ZAIDI KATIKA UKANDA HUU WA AFRIKA KWA WAKATI HUU. MH.MEMBE PLEASE PELEKA VIJANA WAKAFANYE KAZI HAKUNA KURUDI NYUMA. (MAMBA ANAKAMATA CHOCHOTE KINACHOKATIZA MBELE YAKE, LAKINI KWA KIBOKO ANAPISHA NJIA) HIVYO HAKUNA KUOGOPA VITISHO VYA HAWA MBWA23.TUMECHOKA TZ KUWA KAMBI ZA WAKIMBIZI, WASOMALI,WAETHIOPIA,WAERITREA,WAKENYA,WABURUNDI,WAGANDA,MSUMBIJI, WAKONGO,RWANDA WOTE WAMEJAZANA TZ KUOKOA MAISHA YAO. HAPANA HII HAIKUBALIKI RAIS JAKAYA KIKWETE NA MH.MEMBE PELEKENI JWTZ KONGO IKAFANYE KAZI NA DUNIA IWATAMBUE NA TUKITOKA UKO KONGO TUNAPITILIZA MALAWI KAMA WATAENDELEZA UJEURI
  • JUMA KASHINDI
    May 3, 2013 @ 03:31:54AM Maoni yangu jeshi la Tanzania liengezwe kuajiriwa vijana ili waweze kupambana vizuri.
  • patrick leonard mutalemwa
    May 3, 2013 @ 03:27:16AM Sisi wote tunapaswa kujiuriza kwanini M23 wanapigana? Baada ya kujua ilo je njia gani itumike kabla ya mapigano,maana mapigano ni garama, na tunapoteza huwai wa watu na ata hatia hawana.Mkuu wa M23 Jenerali makenga yeye anasema anapigana kuwaokoa Wakongo wenzake na baadhi ya hao wakongo nao wanamsapoti apigane ili wakombolewe sasa ndo maana mkashauri ni bora itumike busara kwanza ili kuokoa maisha ya raia wa Kongo. Na kuhusu Tanzania kupereka Majeshi yake , Ukisoma ujumbe wa Kanali Kapambala Ngawe kutoka Tanzania unaona nayeye hayupo tiari kupigana bali anataka kuokoa maisha ya raia wa kongo ,sasa mimi nashauri nibora itumike njia mbadala kabla ya mapigano. Na ukisoma ujumbe wa Mhe Bebard Membe nae kama Kanali Kapambala ivyo Tanzania kupereka majeshi nisawa ila itumike njia mbadala kabla ya mapigano ,tukifanya ivyo tutakuwa tumeokoa maisha zaidi kuriko kuokoa baada ya mapigano. Na kuhusu watanzania wenzetu kaka,dada,wajomba,baba,mama nk yaani (wanajeshi) Tanzania tunatoa msahada sana tena sana wakijeshi na idadi ya asikali inakuwa kubwa ila chakushangaza wakati wanajeshi wanakwenda kutoa msaada Idara ya usalama wanatutangazia idadi ya asikali ila mbona shuguli ikiisha atupati idadi ya wario rudi? Bado nashauri , akuna asiyependa jeshi la Tanzania, tusiwapoteze asikali wetu maara penye mazungunzo, kabla ya kuingia uwanja wa mapambano. Nimefuraishwa sana na ujumbe wa Kanali Kapambala ,Tanzania atuendi kuawa wakongo bali tunakwenda kuokoa maisha ya wakongo . Asanteni.
  • Kigo
    May 3, 2013 @ 03:18:09AM Tunajisikia fahari kama watanzania kuona serikali walau imeweza kusimamia jambo la msingi. Wito wangu ni kuwa JWTZ iwatandike jamaa bila huruma wasafishe kabisa Congo mashariki kwa usalama wa mipaka yetu na pia kwa kuwezesha kufungua fursa nyingi za kibiashara...
  • ismael
    May 3, 2013 @ 03:01:21AM haya majeshi yangeunanishwa na vikosi toka Rwanda na Uganda hawa wanaelewa vilivyo shida iliyopo DRCmashariki ni njia ya hawa waasi kupata silaha; Hii nchi ya Kongo ni kubwa kupita kiasi ni sawa na nchi zote za Ulaya magharibi zikijumushwa pamoja ,igawanywe sehemu nne na kila sehemu iwe na utawala wa ndani na gavana wake na kisha kuitwa Shirikisho la Kongo
  • lwitiko
    May 2, 2013 @ 07:22:06PM Tunataka kusikia amani KONGO. M23 wanapaswa kuweka chini silaha na UN kuchukua dhamana ya eneo lile.
  • Momanyi Cosmas
    May 2, 2013 @ 05:30:17PM Tanzania endeleeni na kuwasaidia ndugu zetu wa Kongo wawe na angalau sekunde ya amani. Uamuzi ni kile kitakachcoileta moja kwa moja, Wakati Kenya ilipokwenda Somalia, wengi walikosia hatua ile lakini mnaona kile ilicholeta. Wasomali sasa wanayo nchi wanayoweza kuiiita nyumbani. Ninaunga mkono operesheni lakini inapaswa kufanywa katika njia nzuri kabisa iwezekanavyo ili kuepuka kulipuliwa kwa nyuma kwani mmoja wa wqachangiaji amesema kuwa M23 wanasaidiwa na moja ya nchi za EAC. Ikiwa baada ya madai hayo ni kweli kwa hivyo itakuwa sio sahihi kwani watu wanaoteseka ni wale wasio na hatia.
  • CONDRADA ILDEPHONC
    May 2, 2013 @ 01:22:09PM MUNGU ATAWASAIDI TUNAPENDA AMANI NA NINAAMINI MUNGU YUPO NASI
  • bidyaugumye
    May 2, 2013 @ 01:09:36PM kusaidia ni vizuri lakini ningeomba tz isadie zaidi kidepromasia badala ya kujiigiza kijeshi, maana vita ina gharama zake. tunaweza kupoteza askri wetu. nchi za magharibi haziilii mgogoro bila maslahi kwao kwanza. je drc kuna maslahi kwa tz
  • THE ANALIST
    May 2, 2013 @ 12:23:51PM OPS imesaidiwa kifedha na UNO. Sisi nchi masikini tunaojaribiwa kwa misaada inayotolewa. Ikiwa kweli wanajali kuhusu Haki za Binadamu, wanapaswa kuchukua nguvu ya binadamu kutoka kwa Mataifa yenye Nguvu. Watajaribu kuokoa watu lakini wengi wanataka madini yao tu.
  • OBIRI DANIEL
    May 2, 2013 @ 12:23:36PM M23 waende kuzimu, wanafikiri sisi Wakenya ni waoga kama wao. Sisi tumeibuka washindi. Watanzania wataibuka washindi.
  • mike fundikira
    May 2, 2013 @ 10:20:17AM Tanzania isitishwe na vitisho vya waasi sisi tunataka amani sio vurugu. Jakaya songa mbele.
  • yuda joseph mnganya
    May 2, 2013 @ 08:03:23AM Bora tz ikae chonjo kwenye hilo swala
  • mwageni
    May 2, 2013 @ 05:45:23AM Tunataka amani nchini Kongo.
  • hassan ally
    May 2, 2013 @ 01:48:05AM kwanza ningependa kumsifu Bisimwa kwa kumtambua vizuri na kumuheshimu muasisi wetu hayati baba wa taifa,lakini pia atambue mara nyingi baba wa taifa ameziseidia nchi nyingi za afrika kupata uhuru wake kwa njia salama kabisa,sasa wao M23 kwa nini wasifuate misingi hiyo ili mauaji,ubakaji pamoja na mambo yanayofanana na hayo yakome mashariki mwa kongo.tuna kili sababu yakutetea maisha na manyanyaso yakila aina si kwa taifa letu bali hata kwa ndugu zetu wengine naunga mkono 100% tanzania kupeleka majeshi yake mashariki ya kongo kwenda kulinda amani kwasababu wale wanaoteseka ni binadamu kama sisi.
  • chrisent
    May 1, 2013 @ 10:19:40AM Amani ni kitu mhimu sana katika maisha, wanajeshi waTanzania ni halali kuwasaidia wakongo ili kurejesha Amani kwao
  • mtuhumiwa
    May 1, 2013 @ 08:50:15AM JWTZ wanafanya kazi nzuri sana ya kufanya mazoezi ya kulinda mipaka yetu kwani wapiganaji wanapata wasaa wa kufanya kazi ya maandalizi ya kulinda mipaka yetu na kwa kwanda DRC inakuwa ni fundisho kwa majirani kuwa wasicheze na Tanzania
  • IBRAAHIN ROBAT
    May 1, 2013 @ 04:16:06AM Habari! Napenda kusema Tanzania ikae chonjo isiingilie DRC, tafadhali iangalie kile kinachotokea Kenya baada ya kuvuka
  • Mariam Mwinyi
    April 30, 2013 @ 04:29:19PM Wakati umefika sasa kwa Wakongo kutulia na kuendeleza nchi yao. Wanao utajiri mkubwa sana, wanapaswa waelewe kuwa wamegawanyika na kutawaliwa kirahisi wakati wao wako misituni na harakati za kupigana wenyewe kwa wenyewe, kuwanyanyasa wanawake kingono, familia na jamaa zao kukimbia makazi, huku kuna mtu ameshughulika kuwaibia utajiri wao.
  • Mtyangimbole
    April 30, 2013 @ 09:58:13AM Teh Teh Teh..... Nchi yangu Tanzania kwa kupenda sifa zile ilizozipata zamani za kuwa mstari wa mbele kwenye ukombozi dhidi ya Mabeberu wa kikoloni huku taifa likiangamia kwa umasikini na njaa kali..... So Mchezo!
  • Mosses Mziray
    April 30, 2013 @ 08:59:36AM Swala la Tanzania kujiunga na majeshi ya Afrika Kusini na Msumbiji katika kutimiza agizo na azimio la baraza la usalama la umoja wa mataifa juu ya operesheni ya kulinda amani huko mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo DRC ni la muhimu sana la msingi sana! ila linahitaji angalizo. Majeshi ya waasi ya M23 ni majeshi ya rais Kagame ambaye kwa upande mmoja ni mmoja kati ya nchi wanachama wa umoja wa nchi za Afrika Mashariki na kwa upande wa pili ni kikosi kinachoendesha uasi huko mashariki mwa DRC.Swali langu ni kwamba,itakuaje Tanzania kwenda kupigana na majeshi ya Kagame (M23)? ili hali yeye akiwa miongoni mwetu katika nchi wanachama wa Afrika Mashariki? Tafsiri nyingine ni kusema,Tanzania inapoingia vitani huko mashariki mwa DRC inakwenda kupigana na majeshi ya waasi wa nchi rafiki yetu! Sasa swali jingine linakuja,Sisi watanzania hatuoni kwamba tunaanzisha uhasama na marafiki zetu wa Rwanda? Maoni yangu ni kwamba,badala ya sisi watanzania kuingia kijeshi zaidi huko mashariki mwa DRC ni vyema tukaongoza mazungumzo ya amani tukiwashirikisha marais Kagame wa Rwanda,Museveni wa Uganda na Joseph Kabila wa DRC yakiongozwa na raisi wetu Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika tutafuta suluhisho la kudum. Hayo ndiyo maoni yangu.
  • Maliki Zahabu
    April 30, 2013 @ 07:52:26AM kwa 7bu Tanzania ni nchi ya amani na tunasifika Dunia nzima basi ni wajibu wetu kuchukizwa na watu wanao fanya unyama kama hao wanaouwa watu wasiokuwa na hatia, naiyomba serikali isijekata tamaa katika jambo hili la kibinadam.
  • stephen shemtoi
    April 30, 2013 @ 07:48:07AM tunahamu tu ya kupigana na ndo mana tunangangania vita yakwetu yanatushinda tunaenda kuzima moyo wa wenzetu
  • Agaba Nelson
    April 30, 2013 @ 05:28:38AM Tafadhalini tutekeleze sera ya nchi kama Watanzania kama vile Wakenya waliowasaidia Wasomali ilikupata amani. Somalia inapata amani. Acheni watoto wa kiume waende na kuwafanyia kazi M23
  • ISAACK MAKOMBE
    April 30, 2013 @ 04:17:23AM Kazi ni nzuri sana ya kuhabarisha, endeleeni vivyo hivyo
  • Pasaka Nicholas
    April 30, 2013 @ 03:48:49AM Afrika tuache kuwa wajinga! Viongozi wetu wanaendelea kutudanganya nakuendeleza ukolni katika Bara letu na wengine wetu kuendelea kushabikia ujinga pasipo kujua tunachokishabikia! Suluu kamili katika nchi zenye migogoro Barani Afrika haitafikiwa kwa kupeleka majeshi, bali kwa mazungumzo. I say, No to war no to crime in Africa! I propose Africans to arise and say no to colonialism!
  • Kifaru
    April 30, 2013 @ 01:39:11AM Nendeni mkafanye kazi vijana vitisho tumezoea
  • elikana
    April 29, 2013 @ 08:10:00PM Usifanye tena hivyo
  • tumbu innocent
    April 29, 2013 @ 02:53:53PM Hivyo ni nzuri kwa uingiliaji kati wa serikali ya Tanzania huko DRC ili kuwaokoa watoto na watu wasio na hatia.
  • PRAYGOD MNZAVA
    April 29, 2013 @ 09:28:18AM Serikali ya Tanzania inapaswa kutumia busara kubwa katika kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine.Ingepaswa wawaite kwanza hao M23 waje DSM waongee nao na kuwajulisha kuwa kushindwa kutekeleza mipango ya amani kutapelekea TZ kuingilia kati.Hata hivyo wenyewe wanajua kwamba tz haijawahi kushindwa kila walipoingilia hivyo wajisalimishe mapema tu wasipoteze muda.
  • eugene gallet
    April 29, 2013 @ 08:39:53AM majeshi yetu yasiende kwasababu zifuatazo 1.hali yetu ya uchumi ni mbaya kuliko hata DRC 2.Pili tujifunze hivi tumepata nini kujiingiza kwenye ukombozi wa kusini mwa africa wakati ule? 3.kujiogezea maadui
  • Saidi
    April 29, 2013 @ 02:01:51AM Hakuna jambo rahisi chini ya jua na balsa haliishi ili Kwa balaa. Kaza Uzi JWTZ hakuna kurudi nyuma
  • Mika
    April 29, 2013 @ 12:59:12AM Huyu Bisimwa ni mwoga tu. Ameshindwa hata kabla ya kuanza kichapo.
  • Pazi Mazongera
    April 29, 2013 @ 12:24:59AM Kurejesha amani ni wajibu muhimu uliofanywa na Tanzania lakini uendelezaji wa amani unapaswa kufanywa na M23 na Wakongo wote. Tunna hakika? Wanahitaji amani? Kwa hali yoyote, tutimize wajibu wetu, inawezekana.
  • mohamed salah
    April 28, 2013 @ 08:02:39PM @ fikiria familia yako ilikuwa mashariki ya Kongo na waasi wakashambulia familia zenu na halafu mnasema Tanzania haipaswi kuingilia katika matatizo ya watu wengine.
  • liberatus
    April 28, 2013 @ 03:37:55PM kwanza tanzania kuna utulivu na sio amani. serikali ya tanzania itengeneze amani tanzania ndipo iende sambaza amani afrika.
  • dan
    April 28, 2013 @ 11:14:15AM ni vizuri sana kwa jeshi la tanzania kwendakwa makini,m23 wana jamaa zao kwenye jeshi la kongo,hivyo kila kinachopangwa na jeshi la kongo m23 wanapata taarifa zote kutoka kwa wanajeshi wasio waaminifu wa kongo, cha maana hapa ni kuwachapa bila huruma hawa m23,haja yao ni nini? wasitishie.tanzania watumie wananchi wa kawaida sana kupata habari za hawa m23.kama ilivyokuwa kwa wakorofi wa uamsho kule zanzibar.
  • Seamen nyoni
    April 28, 2013 @ 10:12:52AM M23 wapgwe koz hawana adabu,n kama vita wapgane namagreat cpitalst wanaoigawa congo,y unaua ndgu yko wakt wachna,wamarekani,waingereza,wafaransa,warusi wa2nyonya kwa mabvu?m23 thnk twce,mtaumia acheni matata,congo has everythng u nid,y mcungane kupnga neo colonialism ninyi,let uz make unitd nation of afrca n fght against them n nt cc kwa cc
  • MACK STEPHANO
    April 28, 2013 @ 09:59:13AM SIONI SABABU YAKUPELEKA MAJESHI WAKATI WATUWANADAI HAKIZAO.
  • jongo
    April 28, 2013 @ 09:04:13AM makala ni nzuri
  • Zacharia kumalija
    April 28, 2013 @ 08:49:24AM makala ni nzuri lakini hapo mwanzo wamakala mwandishi kasema Tanznia haitarudi nyuma, alivyoanza maelezo akaanza kwa neno (Dar es Salaam) imesema badala ya Tanzania; kama kichwa cha habari kilivyo: au Dar ndo Tanzania? tuumie kiswahili chetu vizuri ili kikubalike kimataifa. Asante
  • mohamed yahaya hussein
    April 28, 2013 @ 06:23:53AM kwa majeshi tu tanzania tumoooo, nahisi M23 wanajua ilo ndiyo maana wanaofia, ila tusije tukaletewa matatizo na viongozi wetu baadae kuwa maisha magumu ya mtanzania yamesababishwa na pale tulipokwenda kongo kuwapokonya siraha M23, maana viongozi wetu kwa visingizio mbona hawajambo!
  • Geofrey
    April 28, 2013 @ 04:59:35AM Tujiulize Congo tutatoka na nini? kama tumeshindwa kumalizana na Malawi ki-mazungumzo mapema namna hii, Isije ikawa ndo tunajipendekeza kwa mataifa ya nje kirahisi namna hiyo
  • kassim mvuni
    April 28, 2013 @ 04:13:51AM kassim mvungi wa Ars Tanzania DRC tuko pamojampaka mwisho
  • NURDIN LICHINGA
    April 28, 2013 @ 03:35:36AM wanapeleka jeshi letu huko drc vp wamefikilia athari ya hayo mambo maana ni kuingilia ugomvi uco kuusu vp wakikugeukia utamlaumu nani? tanzania tunaenda wapi yetu tu yanatushinda.
  • Malik Sinare
    April 28, 2013 @ 03:26:35AM Tanzania isirudi nyuma kuhusu azma ya kudhibiti mamluki wa Kigali na uganda m 23. Wanataka kutawala wao tu na kumiliki kila kitu. Kwao wengine hawajui kitu na ni wapuuzi tu. Kundi hilo na waasi wengine wasiojali maslahi ya wengine na nchi jirani lazima kukomeshwa
  • Edward mwakanyika
    April 28, 2013 @ 03:11:21AM Moja ya kauli za mwl Nyerere alisema huwezi ukalala kwa amani ktk nyumba ambayo chumba kimoja knanyoka, xo kama watanzania na waafrika kwa ujumla hatuna budi kuisaidia congo iwe kwa mazungumzo au kwa kupeleka majeshi yetu.
  • Mubaraka madiwa
    April 28, 2013 @ 01:54:52AM Imani yangu kwa jeshi la Tanzania iko sawa, Kama taifa lenye Amani hatuwezi krona wengine wakionewa nasi tukawa kimya (Daima mbele mikwala Yao haiturudishi nyuma).
  • Maposhoko Semboja
    April 27, 2013 @ 07:19:53PM Sifikiri kwamba kuna sababu ya wazi kwa Tanzania kuingilia kati mizozo ya Kongo na kupeleka majeshi. Ni muhimu kwa SERIKALI kujikita katika kutatua matatizo ya ndani kwani hatupati chochote zaidi ya kupoteza nguvu kazi, pesa na wakati. "Kazi ya kila mtu si kazi ya mtu yeyote"
  • hudson
    April 27, 2013 @ 06:17:52PM nawatakiwa heri na uzima wanajeshi wote walinda amani, Mungu awatangulie, nendeni mkarekebishe kongo, tunawasubiria nyumbani Tanzania kisiwa cha amani.
  • Kimulika PJ Galikunga
    April 27, 2013 @ 03:17:22PM Ni sahihi kwa Tanzania kupeleka majeshi yetu DRC Congo ili kudhibiti waasi wasijiimarishe na hatimaye kuongeza wimbi la wakimbizi wanaoingia nchini kwetu na hata waasi wa M23 kuingia nchini kukwepa vita kwao.
  • john kimaro
    April 27, 2013 @ 02:47:55PM Hilo ni jambo zuri kwa Tanzania ambao ni wasaidizi wa kweli wa wengine tangu enzi za Mwalimu Julius Nyerere.
  • MAGANGA ONGALA
    April 27, 2013 @ 01:57:40PM M23 kama wanamthamini HAYATI MWALIMU NYERERE basi waweke silaha chini kabla MAJESHI YA TANZANIA HAYAJAFIKA KUOKOA WASIO NA HATIA
  • huseni
    April 27, 2013 @ 12:21:12PM Nakala ni nzuri na iko wazi kwa kila mtu luelewa
  • jazzy
    April 27, 2013 @ 09:48:17AM Kila la heri..............
  • gwikoze gastor david
    April 27, 2013 @ 09:47:59AM hali hii mwisho wake hautabiriki,we are just hoping
  • ELIFASI F NGOWO
    April 27, 2013 @ 06:02:53AM KIUKWELI TUACHANE NA CONGO TUJISAFISHE KWANZA SISI TUFANYE YETU TUNAANGALIA AMANI YA KONGO NA YA TANZANIA JE AU KWA HAYA MATUKIO YANAYO TOKEA KUTEKWA KWA WATU NA WENGINE KUTISHIWA MAISHA HAPO UTASEMA AMANI IPO TUSIJIFANYE HATUONI WAKATI TUNAONA MAMBO YAKO WAZI TUNAJIFANYA VIZIWI WAKATI TUNASIKIA INA TAKIWA TUKUBALI KUKOSOLEWA PALE TULIPO KOSEA TUJIREKEBISHE LAKINI HATUTAKI KUKOSOSOLEWA TUTA JIREKEBISHA VIPI WAKATI UKWELI HATUU UKUBALI
  • Kiyungi Twalib
    April 27, 2013 @ 05:09:37AM Ni vizuri kuwa makini haswa migogoro inapotokea nchi jirani, ila napenda kuweka tahadhari kwa Serikali ya Tanzania kuwa ni busara kushughulikia mambo ya ndani ya nchi yetu kuliko kuingilia migogoro ta nchi za watu. Nafikiri matokeo ya vita ya Idi Amin mpaka leo tunayaona.
  • Liberat urio
    April 27, 2013 @ 04:52:03AM Tanzania imechelewa sana ,ilipaswa kufanya kazi hii mapema,sina shaka kabisa JWTZ yenyewe inaweza kufanya kazi hii,ninaimani kubwa na military technical depertment ya Tanzania, watanzania msiwe na shaka subiri mtaiona kazi ya vijana ,wenzetu kongo wamechoka kwa kila hali.
  • leonard
    April 27, 2013 @ 03:53:10AM ni muhumu kusaidia kupigania haki ya wanyonge ukiwa na nafasi hiyo muko sahihi Tanzania fanyeni operation hiyo haraka kabla haijaota mizizi
  • Geofrey Mkumbwa
    April 26, 2013 @ 04:17:32PM Tanzania ijikite katika kulinda mipaka yetu. Matatizo ya kupambana na waasi wa M23 yatasababisha wananchi kuishi maisha ya wasiwasi kwa kuwa waasi wanatabia ya kulipiza kisasi popote pale.
  • Deograsias Abby Nindi
    April 26, 2013 @ 03:51:10PM kimtazamo nisawa,.lakini kwa sasa ni mapema mno kwa serikali ya Tanzania kupeleka majeshi yetu {DRC} kwani bado tunamambo mengi ya kuwafanyia wananchi wetu,kabla au badala ya kwenda kumsaidia jirani.{afya, elimu, maji,miundombinu nk]
  • Lukuba Sweya
    April 26, 2013 @ 01:56:19PM Nadhani hili ni suala muhimu sana; Tanzania inahitaji kuwafahamu maadui ambao watavuka mipaka na kuwadhuru nchini watu wasio na hatia; nchi kama DRC na Malawi ni hatari kubwa kwa watu wetu.
  • ally
    April 26, 2013 @ 11:48:49AM Hatuwezi kusema kuwa una aman hali ya kuwa jirani yako anamwaga damu,acha majeshi ya Tanzania ya kafanye kazi.
  • abdulaziz
    April 26, 2013 @ 06:37:18AM Serikali inapaswa kutahadhari kupeleka majeshi yake DRC. Hili linaweza kusababisha matatizo mengi kwa watu wasio na hatia.
  • JIRESTH BIDYABANSIGA
    April 26, 2013 @ 04:08:24AM ni kweli kwamba kuna watu wengi ambao wanaathirika katika vita hivyo vya waasi wa M23 na hakuna anayefurahia kuona watu wanahangaika kuacha makazi yao na kukimbia kuishi sehemu ambayo atakuwa kama mtumwa pia siyo vizuri kwa waasi kuuwa watu ambao hawana hatia wala hawahusiki na mgogoro wowote wa kisiasa,M23 yawapasa mwe na huruma kwa kumwaga damu zzissizo na hatia kwani mnayegombana naye hajawahi kuathirika na wanaoathirika ni watu wengine watoto, wanawake na hata wanaume wasio na hatia. kwanini msiweke siraha chini na kumaliza migogoro hiyo kwa amani? na pia kwanini muendelee kupokea ushawishi kutoka kwa watu wasioijua nchi yenu? hakukuwa na haja kwa majeshi ya tanzania kuja hapo DRC kama maazimio ya amani yangefikiwa na pia ni suala la kuwa na uzalendo wa nchi yenu na kuithamini amani ambayo inatakiwa kuwepo. ebu tazameni wale wanaowachochea wanaishi kwa amani huko kwao lakini nyie mnaishi msituni kama wanyama kwanini msiachane nao na kuinufaisha nchi yenu? mimi binafsi naumia kuona ndugu waafrika wenzangu tukiuana kana kwamba ni wanyama ambao hawana upembuzi wa akili. nawaomba mwe wazalendo wa nchi yenu na kuacha migogoro na pia kutengeneza demokrasia ya kweli. jiresth bidyabansiga rugiga university of dodoma BA,INTERNATIONAL RELATIONS .
  • Maseke
    April 26, 2013 @ 04:02:48AM Go gooooooo go JWTZ,M23 ni watu wasio na huruma na wananchi wa DRC.
  • Yusitini Musoni
    April 25, 2013 @ 12:47:59PM Anjouan katika visiwa vya Comoro ilikuwa ni kazi ya Afrika. Suala la DRC ni Tanzania kujiuza kwa Ufaransa kupitia kwa fisadi Jakaya Kiwete ambaye tayari ameshatia yuro mfukoni. Sio hata suala la Kongo, kwa hivyo acheni wivu nyinyi Waswahili wavivu.
  • fredy
    April 25, 2013 @ 10:45:24AM hii iko poa saana
  • RWEBANGIRA
    April 25, 2013 @ 10:27:37AM pigeni hao waasi wakome ubishi wa tabia ya kuuawananchi wao
  • heryson sanga
    April 25, 2013 @ 10:03:34AM JESHI LIKAZE BUTI KWANI WATU WANATESEKA NA KIKUNDI HIKI KIDOGO CHA M23
  • francis ngomuo
    April 25, 2013 @ 09:21:05AM Asanteni SABAHI..! tafadhalini, tupeni habari za mwisho za kile kinachoendelea huko.
  • juma musa
    April 25, 2013 @ 09:18:03AM serikali isirudi nyuma kwanza nawatakia kazi njema wanajeshi wa tanzania.naomba tanzania ifanye mpango wa kupiga malawi haraka sana .kuepusha dharau itakuwa vyema kupiga na vita kimasilahi na isiwe kupoteza nguvu.tubadilike yutafute amani na masilahi ya taifa la tanzania
  • mathias mwita
    April 25, 2013 @ 05:05:19AM majeshi ya TZ yanapaswa kuwa makini katika ardhi ya congo kwani kuna misitu ya kutisha na hawajui chimbo zao zikoje
  • costantine
    April 25, 2013 @ 04:10:39AM mimi naungana sana na jeshi la tanzania kwenda kuweka amani huko mashariki ya congo kwa sababu hali ya waraia kule ni mbaya sana wanawake wanabakwa na watoto wana kufa.
  • Leonard nundi
    April 25, 2013 @ 01:26:48AM Mimi nafikiri hawa m23 wamekosa cha kufanya huwezo wa kukipiga kikosi cha Tanzania hawana waelewe kuwa wanaowaua ni wakongo wasio kuwa na hatia na Mungu hapendi na damu za wakongo zitawalaani
  • Yusuph Hamis
    April 25, 2013 @ 01:08:17AM Kwa unyanyasaji huu aw M23 acha tu majeshi ya Tanzania yasonge mbele kuokoa mamia ya kina mama na watoto wanaoteseka
  • nduza boni
    April 24, 2013 @ 06:00:36PM Tanzania inaaminika katika kurejesha amani ya afrika ,imeshirika ktk ukombozi wa nchi nyingi ,nikiwa kama mzalendo ninae lipenda bara la africa na congo kwa ujumla ,na nikiwa kama mtanzania mzalendo naungana na nchi yangu kulinda amani congo na ikibidi naomba m23 wapigwe na waondolewe
  • otoyo ondieck
    April 24, 2013 @ 03:39:10PM vita ni mikwala
  • ALFRED NGOMA
    April 24, 2013 @ 10:04:25AM kama ingekuwa kweli wanmuenzi mwalimu nyerere na kumheshimu walitakiwa wamalize mazungumzo mezani sio msituni kwa sababu mwalimu hakuwahi kuingia msituni bila sababu za msingi,wamuulize idd amini
  • salim
    April 24, 2013 @ 09:08:35AM Mimi ni Salim Yusuph wa Dar..Serikali ya Tanzania iache kuingilia mambo yasiyo ihusu na kurudi nyumbani kushughulikia matatizo ya wananchi wake ikiwemo umasikini uliokithiri ukosefu wa ajira na uongozi mbaya ( UFISADI) na huduma mbovu za kijamii...

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo

Nyenzo

 

 

 

 

 

 

 

 

Lipumba: Kuna njama za kumwongezea JK muda

Share bookmark Print Email Rating

Rais Kikwete 
Na Aidan Mhando na Fidelis Butahe, Mwananchi  (email the author)

Posted  Jumanne,Mei14  2013  saa 20:23 PM
Kwa ufupi
  • Nitapenda kuona Rais Kikwete akikataa jambo hilo kwani litachafua taswira ya nchi. Hatua hii ni kinyume cha utawala bora,” alisema Profesa Lipumba.
SHARE THIS STORY

0
Share


Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amedai kuwa amenasa taarifa za siri za kuwapo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani.
Profesa Lipumba alisema hiyo inatokana na wasiwasi kuwa mchakato wa Katiba Mpya hautaweza kukamilika mwaka 2014 hivyo kutokuwa rahisi kwa uchaguzi kufanyika mwaka 2015.
Akizungumza Dar es Salaam jana, wakati akifungua kikao cha Baraza Kuu la CUF, Profesa Lipumba alisema kuwa Serikali inataka kuongezewa muda wa kukaa madarakani kwa miaka miwili ikimaanisha kuwa Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete itakaa madarakani hadi mwaka 2017.
Hata hivyo, madai hayo ya Profesa Lipumba yamepingwa vikali na Serikali na viongozi wake watatu waandamizi ambapo walijibu walipoulizwa kwa maandishi na mwandishi wetu mjini Dodoma wanakohudhuria kikao cha Bunge.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe alijibu: “Mchakato wa Katiba upo ‘on track’ (unakwenda vizuri) hatuna sababu ya kufanya hivyo.”
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alijibu” “Njooni ofisini kwangu nitasema ni kitu gani.”
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi alijibu kwa utani bila ya kufafanua: “Njooni niwajuze, unajua kamba haitoki Ukambani kama ilivyo kamba.”
Profesa Lipumba amemwomba Rais Kikwete asilikubali wazo hilo akisema wananchi hawatakubali na taifa linaweza kuingia katika mtafaruku.
“Nitapenda kuona Rais Kikwete akikataa jambo hilo kwani litachafua taswira ya nchi. Hatua hii ni kinyume cha utawala bora,” alisema Profesa Lipumba.
Alisema Serikali haipaswi kuhofia uchaguzi kwa sababu ya Katiba kwani bado uwezekano wa kuandaa uchaguzi wa haki na huru unawezekana kwa utaratibu mwingine.
“Mchakato wa Katiba unaendelea, Tume ya Mabadiliko ya Katiba inatuambia kwamba mwaka 2014 tutakuwa na Katiba Mpya, sasa CUF tunasema kwamba hata kama Katiba Mpya haitapatikana kwa kipindi hicho kuwe na Tume huru ya Uchaguzi,” alisema Profesa Lipumba.
Jukwaa la Katiba kutinga mahakamani
1 | 2 Next Page»

DISQUS seems to be taking longer than usual. Reload?