Saturday, July 23, 2011

Kashfa ya IPTL kama Rada II
Joseph Mihangwa
29 Jun 2011
Toleo na 192
KATIKA sehemu ya kwanza ya makala hii, tuliona jinsi mkataba wa miaka 20 wa kuuziana umeme [PPA] ulivyofikiwa kati ya IPTL na TANESCO, mkataba ambao umeitupa nchi yetu gizani kwa mgawo wa umeme wakati serikali itaendelea kuilipa IPTL zaidi ya Sh. bilioni 6 kwa mwezi kwa umeme usiokuwepo kwa kipindi chote hicho.
Tamko la serikali kupitia kwa Waziri wa Madini na Nishati, William Ngereja, hivi karibuni kwamba tatizo la umeme nchini litamalizika mwaka 2015, linakwenda sambamba na muda wa mkataba huo wa IPTL wa miaka 20 [kuanzia 1995] utakapomalizika mwaka huo.
Tuliona chimbuko la mkataba huo wa kifisadi, kuanzia na ziara ya Waziri wa Mipango wa wakati huo, hayati Horace Kolimba nchini Malaysia, Julai 1994, alikozungumza na wawekezaji katika sekta ya umeme wa nchi hiyo na kuwaomba waje nchini kuangalia uwezekano wa kuwekeza ili kupunguza tatizo la umeme.
Agosti 19, mwaka huo, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mechmar, inayomiliki asilimia 70 ya hisa za IPTL, Bw. Datuk Baharuden Majid, aliongoza ujumbe mzito kutoka Malaysia kuja kufanya mazungumzo na serikali yetu juu ya uwekezaji huo. Walioshiriki katika mazungumzo hayo kwa niaba ya serikali yetu ni pamoja na Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa wakati huo [na sasa Rais wa Tanzania], Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Simon Mhaville, Kamishna wa Nishati Msaidizi, Ester Masunzu, na Msaidizi wa Rais Ali Hassan Mwinyi wa Mambo ya Uchumi, Dakta Juma Ngasongwa.
Viongozi na watendaji hao wakuu wa serikali, kwa nia njema na thabiti kabisa, waliukaribisha uwekezaji huo bila kujua kwamba hatimaye ungeingiliwa na “dumuzi” mharibifu; kwa maana ya ufisadi kwa njia na mtindo ule ule uliotumika kwa kashfa ya rada.
Mwezi mmoja baadaye, Septemba 1994, Mkataba wa Maelewano [MOU] ulifikiwa baada ya kuthibitishwa na Mwanasheria Mkuu wa nchi, kuwa ulikuwa mzuri na wa manufaa kwa nchi; licha ya tahadhari kutoka kwa washauriwa wa TANESCO – Kampuni za Acres [Canada] na Hunton and Williams [UK], kwamba uwekezaji huo ulikuwa hati ya kifo kwa sekta ya umeme na kwa uchumi wa Taifa.
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa, ufisadi mwingi na mkubwa wa kutisha kwa uchumi wa nchi, mara nyingi umefanyika karibu na chaguzi kuu hasa katika enzi hizi za demokrasia ya vyama vingi vya siasa. Mfano hai ni pamoja na kashfa za Meremeta, EPA, Richmond/Dowans na nyinginezo, ambapo mabilioni ya fedha jasho la wananchi, yameporwa bila huruma na mikataba mibovu kuingiwa kwa kisingizio cha “usalama”, “ustawi” au “manufaa” ya Taifa, wakati ukweli ni kinyume chake. Mkataba wa IPTL unaweza kuwa mmoja ya mbinu hizo.
Tunafahamu kwamba, mazungumzo juu ya uwekezaji huo yalianza mwaka 1994 kwa ziara nchini Malaysia ya Waziri wa Mipango na Katibu Mkuu wa CCM wa wakati huo, hayati Horace Kolimba na hatimaye makubaliano kufikiwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1995.
Ni katika kipindi hicho, kigogo mmoja wa Chama [Dakta Abdallah Kigoda] aliyekuwa na cheo cha chini tu kwenye Tume ya Mipango ya Taifa, aliteuliwa kuwa Mtunza Hazina wa CCM, na hivyo kuingia katika “gurudumu” la Chama tawala.
Alipotembelea Malaysia, kigogo huyo alirejea nchini na “kitita” cha fedha kwa ajili ya kugharamia mkutano muhimu wa CCM, ingawa fedha zilizotumika na jinsi zilivyotumika zilizua malumbano na utata miaka miwili tu baadaye.
Mwafaka tata na tete
Baada tu ya kutiwa sahihi kwa Mkataba wa Ujenzi [EPC] mwaka 1997, alipanda cheo ghafla kuwa Waziri wa Wizara nyeti yenye dhamana ya sekta ya umeme nchini. Ni mwafaka gani huo wenye matukio tata na tete yenye kushabihiana?
Ufisadi katika mradi huu ulianza kujidhihirisha mwezi Februari, 1995 katika ununuzi wa mitambo ya mradi. Awali, Kampuni ya Wartsila ilikuwa imeomba kuuza jenerata za kufua umeme 11 aina ya Slow Speed Diesel [SSD] zenye uwezo wa kuzalisha megawati 116 za umeme kwa bei ya dola milioni 53 tu pamoja na vifaa vyote.
Lakini Februari 15, 1995 bei ya jenereta hizo iliongezwa kinyemela kufikia dola milioni 85.7, na dola milioni 114.2, Januari 1996, na hatimaye dola milioni 163.5 kwa gharama za ujenzi [EPC] na dola milioni 126.39 kwa jenereta 10 tu.
Nyumba 37 zilizopangwa kujengwa pale Tegeta zilipunguzwa kutoka 37 hadi 6, lakini kwa gharama ile ile ya nyumba 37 kwa dola milioni 7.6!
Kuna ushahidi kuonyesha kwamba, kampuni hiyo hiyo Wartsila, iliziuzia nchi nyingine za Kiafrika, ikiwamo Kenya, Jenereta kama hizo za Mradi wa IPTL, kwa chini ya dola milioni 60. Na kama kwamba hiyo haikutosha, IPTL ilibadili mitambo SSD na kusimika mitambo hafifu na ya bei ya chini zaidi lakini ya aghali kuendesha, aina ya Medium Speed Diesel [MSD] kwa bei ile ile ya SSD, ili kujipatia kivuno kwa kupora kutokana na tofauti ya bei kinyume na mkataba, na bila TANESCO kujua.
Kwa hiyo, ukichukulia kwamba nchi yetu iliuziwa mtambo mbovu kwa bei mbaya; ukichukulia pia kwamba mradi huo uliongezwa gharama kinyemela kwa asilimia 130 badala ya gharama halisia; na ukichukulia zaidi kwamba mkataba huo wa kitapeli umeifanya Serikali yetu kulipa zaidi ya Sh. bilioni 6 kwa mwezi kwa umeme usiokuwepo na nchi kuingia gizani; hivyo kwa njia hii, ufisadi wa IPTL umetwisha mzigo uchumi wa nchi na kuturudisha nyuma hatua tatu katika maendeleo.
Wananchi walonga kuhusu mkataba
Wananchi nao hawakukaa kimya juu ya sakata hili kati ya IPTL na TANESCO. Mmoja wa wananchi walioonyesha kukerwa ni Brigedia Jenerali mstaafu, Joachim Burcard Ngonyani aliposema: “Hebu angalia mkataba wa IPTL; ni mkataba wa kihayawani kweli kweli. Tunataka wote waliouidhinisha washughulikiwe. Uchu wao wa kujilimbikizia mali usiruhusiwe kudidimiza uchumi wa nchi hii” [The African, August 3, 1996].
Naye Mbunge wa Dodoma mjini wa wakati huo, Mheshimiwa Hashim Saggaf, alishangaa kuona kwamba waliotia sahihi mkataba huo hawajahojiwa na serikali ili waeleze kwa nini wametufikisha hapo [The East African, April 26, 1999].
Inaelekea kila mtu alielewa mchezo mchafu uliochezwa na jinsi ulivyochezwa, lakini hapakuwa na yeyote aliyekuwa tayari kumfunga paka kengele; kwani kuna kipindi ambapo Mkurugenzi wa Shughuli wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa [PCB] wa wakati huo, Edward Hosea, alikerwa na kutaka kuivalia njuga tafrani hii; lakini alivutwa shati na wakubwa wake, na hivyo Ikulu ikashauriwa “isipaniki”, kwa madai kwamba hapakuwa na ushahidi wowote juu ya vitendo vya rushwa katika mkataba huo.
Historia yajirudia kwenye rada
Historia kama hii imejirudia kwenye kashfa ya rada ambapo Serikali imedai kila mara kutokuwapo ushahidi juu ya ufisadi huo hadi tumeumbuliwa na jamii ya kimataifa kama tulivyoona mwanzo.
Inaelekea pia kwamba, hata kambi ya Upinzani nayo ilikuwa imelainishwa isipige kelele na kuuamsha umma juu ya sakata hili; kwani Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali wa wakati huo, Mheshimiwa John Momose Cheyo, hakupiga kelele kubwa juu ya jambo hilo.
Katika ushahidi uliotolewa katika ICSID, Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini na Nishati wa wakati huo, alidai kwamba alijaribiwa kwa rushwa ya dola 200,000 na mtu wa IPTL ili ailinde na kuitetea kampuni hiyo, lakini alikataa; na kwamba mtu huyo wa IPTL alimwachia kibahasha cha Sh. 500,000 nyumbani kwake siku ya Krismasi, 1994 wakati yeye hakuwepo nyumbani, lakini pia alimrudishia.
Naye Msaidizi wa Katibu Mkuu huyo, alitoa ushahidi kuthibitisha kwamba, alipewa kiasi hicho hicho cha fedha [dola 200,000] ili asaidie kutoa habari muhimu za mkuu wake wa kazi juu ya IPTL, ikiwezekana aweze “kushughulikiwa” kwa nguvu zote na kambi ya ufisadi nchini. [Alimtaja pia mtu mmoja katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliyetumwa kwake kumwahidi [yeye Msaidizi huyo wa Katibu Mkuu], kwamba angepewa Shs. milioni 100m kama mradi wa IPTL ungepita [maelezo ya shahidi, 19 April 2000, uk. 3]. Hata hivyo, ushahidi huu ulikataliwa kwamba uliwasilishwa kwa kuchelewa.
Februari 2, 2001, mjini London, Mahakama hiyo ya Usuluhishi ya Kimataifa iliamua kwamba TANESCO [kupitia vigogo wa Serikali na TANESCO], ilikuwa na taarifa za kutosha juu ya kubadilishwa kinyemela kwa mitambo na IPTL kutoka SSD kuwa MSD kinyume na ile iliyokusudiwa kwenye mkataba kabla ya usimikaji kuanza. Na kwamba, kwa kuwa TANESCO hawakupinga hatua hiyo mapema, basi, walipashwa kujilaumu wenyewe.
Ni kwa sababu hii kesi ya TANESCO dhidi ya IPTL ilishindwa, na hivyo tukaamuriwa kulipa gharama za kesi na pia kuendelea kuilipa IPTL kwa miaka 20 ya mkataba.
Hatimaye IPTL ilianza kuzalisha umeme Januari 15, 2002 kwa asilimia 50, chini ya uwezo uliotajwa katika mkataba; huku TANESCO ikitakiwa kulipa zaidi ya dola milioni 4.6m kwa mwezi au dola milioni 55 kwa mwaka, kwa huduma na kwa kutumia umeme wa IPTL.
Chini ya mkataba huu, TANESCO [Serikali] inalipa dola milioni 3.6 [Shs. bilioni 5.4] kama ada ya huduma za mtambo [capacity charge] pekee kila mwezi. Juu ya malipo hayo, TANESCO inalipa senti 13 za Kimarekani kwa kila yuniti ya umeme kwa kuendesha mtambo kwa nusu ya uwezo wake [yuniti moja ni sawa na kilowati moja] kwa mwezi, na kufanya gharama zote kwa TANESCO kufikia zaidi ya Sh. bilioni kwa mwezi au Shs. bilioni 90 kwa mwaka.
Wananchi wabebeshwa zigo
Tunafahamu kwamba, TANESCO hawana fedha za kulipa malipo haya. Njia pekee kwa TANESCO ni kuongeza bei ya umeme kwa Watanzania masikini. Kwa mujibu wa gharama hizi, umeme wa IPTL unapashwa kuuzwa senti za Kimarekani 13 au Sh. 120 kwa yuniti ikilinganishwa na umeme rahisi wa Kidatu [hydro] wa senti 3 au Shs. 28 kwa yuniti.
Ni kwa sababu hii kwamba, serikali sasa inatoa ruzuku zaidi ya dola milioni 1.6. [Sh. 2.4] kwa TANESCO kila mwezi. Pamoja na hatua hiyo, bado mzigo kwa TANESCO ni mkubwa, na kwa vyovyote vile lazima bei ya umeme kwa mlaji iongezeke kati ya asilimia 15 na 35.
Ongezeko hili sio tu linamuumiza mtumiaji wa kawaida; bali pia linapunguza hamasa ya wawekezaji kutoka nje. Kwa nchi yetu, IPTL ni nyoka mwenye sumu kali aliye chini ya uvungu.
Mradi wa IPTL umerudisha nchi yetu hatua tatu nyuma katika juhudi za maendeleo, na kwa sababu hii; wawekezaji wa Malaysia na baadhi ya wanasiasa wetu waliohusika na ufisadi huu wanapaswa kuwajibishwa.
Niungane na Brian Cooksey katika mada yake The Power and the Vainglory [uk. 3] kwa kutaja tu kwamba, kama isingekuwa hujuma za IPTL/VIPEM, tayari Tanzania ingekuwa inavuna gesi yake ya asili na kuokoa mamilioni ya fedha za kigeni kutokana na kuagiza mafuta ya mitambo.
Vivyo hivyo, hasara kwa uchumi wa nchi kutokana na upungufu wa umeme tangu mwaka 1997 ingeepukika kama mradi wa Songas usingehujumiwa na “sakata” hili na mizengwe hii ya IPTL.
Baya zaidi ni kwamba, Watanzania wamebebeshwa gharama kubwa za umeme pamoja na deni kwa taifa ambalo fedha zake zimenufaisha wajanja wachache. Baadhi ya wajanja hao wangali pamoja nasi, wakiendelea kutumbua salama walichopora. Serikali inapofumbia macho ufisadi huu, wananchi waieleweje?

Wasomaji

334
Wasiliana
na mwandishi
Joseph Mihangwa
Barua pepe:
jmihangwa@yahoo.com
Simu:
+255-0713526972

Toa maoni yako!

  • Web page addresses and e-mail addresses turn into links automatically.
  • Allowed HTML tags: <a> <em> <strong> <cite> <blockquote> <code> <ul> <ol> <li> <dl> <dt> <dd>
  • Lines and paragraphs break automatically.
Image CAPTCHA
Enter the characters shown in the image.
Copyright © 2011 Raia Mwema Newspaper Company unless othe
 

 

Home FikraPevu JF Live Chat BLOG CONTACT US Forum Rules JF Mobile Today's Posts Calendar Community Forum Actions Quick Links Home Forum General Forums Jukwaa la Siasa UFISADI mwingine huo hapo. Members: 43,048 Total Topics: 118,456 Total Posts: 2,253,111 Currently Online: 4888 Follow Us Here Follow Us on Buzz Follow Us on Twitter Follow Us on Facebook subscribe to our RSS Follow Us trough Newsletter You are currently viewing our boards as a guest which gives you limited access to several features of the site. You may have to REGISTER before you can post. By joining our community you will be able to post, communicate in Private with other members, download attachments and start your own topics. Registration is fast, simple and FREE so please, join our community today! Topic: UFISADI mwingine huo hapo. Reply To Topic Reply to Topic Share Report Post Results 1 to 5 of 5 LinkBack Topic Tools Rate This Topic Display Indume Yene is offline Indume Yene 9th June 2008 07:08 PM #1 Indume Yene's Avatar JF Premium Member Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Join Date : 17th March 2008 Location : Chumbani Posts : 1,388 Rep Power : 26 Default UFISADI mwingine huo hapo. A row is brewing over the circumstances under which the Ministry of Infrastructure Development directed the Tanzania Ports Authority (TPA) to pay millions of shillings to a UK-based consultancy firm for services it rendered to third parties. The British firm, DLA Piper, was paid for services it had rendered to the Tanzania Airports Authority, which -although also falling under the ministry - is a totally different entity. DLA Piper was asked to carry out a consultancy at the Tanzania Ports Authority (TPA) on two worn-out Single Buoy Mooring (SBM) and Single Point Mooring (SPM) systems at the Dar es Salaam port as well as a consultancy on construction works at the Kilimanjaro and Mwanza airports for the Tanzania Airports Authority (TAA). TAA and TPA both fall under the Ministry of Infrastructure Development. But it is the TPA that was asked to pay for consultancy services towards not only the revival of the SBM and SPM but also the two airports plus another assignment for the Kilimanjaro Airport Development Company Ltd (Kadco). The EastAfrican has learnt that former infrastructure development minister Andrew Chenge - who was recently forced to resign over alleged improper payment in the Watchman radar scandal - is alleged to have asked the TPA to pay for the services rendered for the two airports and Kadco despite the fact that the cost was to be incurred by the TAA. The Ministry of Infrastructure Development directed the TPA to pay DLA Piper $398,322.60 for the consultancy services, although it had already paid $62,956.62 for the consultancy on the SBM and SPM at Dar port. The TPA management initially paid the $62,956.62 in September last year as consultancy fees for services rendered for airports at Mwanza and Kilimanjaro, and the SPM oil-offloading facility at the port. However, it refused to pay the remainder of the money and instead asked the ministry to explain why it was being made to pay for services that were rendered in connection with the two airports, "which had nothing to do with Tanzania Ports Authority and its activities." TPA Director General Ephraim N. Mgawe, in Memo No 5/2008S addressed to the TPA board of directors, said that the authority received the request from the ministry via letter No CMC 13/141/02/Vol.IX/5 of April 9 to pay the $398,322.60 balance owed to DLA Piper. This firm [DLA Piper] was asked by the ministry to provide consultancy on the way forward as regards policy and other legal matters linked with involving the private sector. Besides, the UK firm was also advising the ministry on projects on expansion and construction of airports together with the SPM project at Dar es Salaam port," said Mr Mgawe. According to the TPA, it was neither involved in negotiating the contract with DLA Piper nor was it party to the agreement signed between the parent ministry and the law firm. "The Tanzania Ports Authority wasn't involved in entering the contract with the UK firm. In addition, the Authority wasn't furnished with procedures that were used to employ the consultant and whether the procurement law (PP Act 2004) was followed," said Mr Mgawe. In view of the fact that the beneficiary of the consultancy was the Tanzania Airports Authority, the TPA advised that the request to pay the consultant be directed to TAA. "We don't have any funds that were set aside for such an undertaking as we have a host of other projects that need our attention," said Mr Mgawe. A breakdown of the payments indicates that there were four bills to be settled for consultancy work on Kilimanjaro Airport, while one was for Mwanza Airport. The total for Kilimanjaro Airport was $320,925.41 and that for Mwanza Airport was $77,397.20. The immediate former permanent secretary at the Infrastructure Ministry, Dr Enos Bukuku, who is now one of the three Deputy Governors of the Bank of Tanzania, wrote to the UK firm saying he had directed the TPA to pay them. "I have asked M/S Tanzania Ports Authority to pay your bills on behalf of the Ministry of Infrastructure Development for consultancy work that you have done for the Ministry on Mwanza Airport, SBM, KIA/Kadco and others," said Dr Bukuku in the letter to DLA Piper. Charles Morrison represented DLA Piper, one of the biggest law firms in the UK, in the consultancy. Contacted for comment, the chairman of the TPA board, Raphael Mollel, told The EastAfrican that they had written back to the ministry, indicating that they were not in a position to pay the $398,322.60 that the ministry had asked them to settle. "We told the parent ministry that we couldn't afford to pay the almost Tsh400 million because it wasn't budgeted for and the $62,956.62 we paid was also not our debt," he said. He added that he was not in a position to say whether it was right or wrong for the ministry to instruct TPA to pay for services that were rendered to the Airports Authority. "The two institutions fall under the same ministry and it was the minister's decision to instruct us to pay the debt but, like I said, we weren't in a position to pay," said Mr Mollel. DLA Piper UK has over 2,800 employees and eight offices in major UK commercial centres. In 2006, the firm accepted Ishengoma, Masha, Mujuzi and Magai, Advocates as a member firm in Tanzania of the DLA Piper Group, an alliance of legal practices that includes firms with offices in Australia, Egypt, New Zealand, South Africa, Sweden and Zambia that are affiliated to the organisation but are not themselves members. Ndugu msomaji naamini utajiuliza ni vipi TPA iamrishwe kulipa deni la TAA wakati wenyewe hawakuingia nao mkataba wa Consultancy (PLA Piper) for TAA. Yule yule fisadi Mzee wa Vijisenti, aliyekuwa mshauri Mkuu wa serikali kwenye masuala ya sheria akatumia nafasi yake kama WAZIRI Mawasiliano na Uchukuzi kuwaamuru TPA kulipa deni ambalo si la kwao (Deni la TAA). Na hawa akina Masha, Mujilizi bado tu hawakuona kama kuna mapungufu hapo? Kuna nini hapo jamani....... Nina amini pale KIA kuna mbia, yeye kama mfanyabiashara ambaye vilevile atakuwa kanufaika kwa njia moja au nyingine, yeye mchango wake ulikuwa nini. Kama kuna mbia nafasi yake naye ni vizuri ikawekwa wazi. Isije ikawa kama mambo ya Shirika la Reli. Reply With Quote Reply With Quote Mzee Mwanakijiji is online now Mzee Mwanakijiji 9th June 2008 07:20 PM #2 Mzee Mwanakijiji's Avatar JF Premium Member Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji Join Date : 10th March 2006 Location : Kijijini Posts : 23,624 Rep Power : 76 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. hivi hiyo KADCO ni ya nani.. nakumbuka kulikuwa na ka kashfa ka aina fulani pale.. mwanakijiji@jamiiforums.com In other countries, "necessity is the mother of invention"; In Tanzania however, "necessity is the mother of corruption". While others are inventing ways to make their lives better, we are doing the opposite! - out of necessity. Reply With Quote Reply With Quote Pundit is offline Pundit 9th June 2008 07:29 PM #3 Pundit's Avatar JF Senior Expert Member Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Join Date : 4th February 2007 Posts : 3,938 Rep Power : 154 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. The buck stops with JK, JK is the head of state, he is responsible for the appointments of Chenge and Mgawe.Because JK is a mediocre president, his appointments are also mediocre.Chenge is a known corrupt bureaucrat, Mgawe was an assistant port manager (he was not even on TPA's board of directors prior to his appointment and has no senior management experience, for all I know he is still grateful to JK for appointing him out of the blue and can hardly be said to muster the courage to question some nonsensical ministerial directives. Hapa hakuna cha kusema Waziri aliniambia, kama kweli wewe ni mtu wa integrity na Waziri anakuambia utumbo unajiuzulu halafu unafanya press conference unamshtaki kwenye court of public opinion. Kwa kukubali directives za kijinga unakuwa part ya hizo directives. JK, Chenge na huyu Mgawe wote bogus tupu.Board ya TPA nayo bogus kwa kutotetea maslahi ya shareholders wake, sisi wananchi. "We told the parent ministry that we couldn't afford to pay the almost Tsh400 million because it wasn't budgeted for and the $62,956.62 we paid was also not our debt," he said. Wanaleta michezo ya kitoto, sasa kama walijua $ 62, 956.62 sio deni lao kwa nini walilipa? They all should be accountable. Pundit is sitting out Christmas Reply With Quote Reply With Quote Indume Yene is offline Indume Yene 9th June 2008 07:39 PM #4 Indume Yene's Avatar JF Premium Member Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Join Date : 17th March 2008 Location : Chumbani Posts : 1,388 Rep Power : 26 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. Pundit, Serikali ya Tanzania hi uozo mtupu, huwezi kuingia mkataba na kampuni au taasisi huku ukijua kuwa huna pesa kwenye bajeti yako kulipa. Yaani ni udanganyifu wa mchana mchana. JK na watu wake ni PANTUPU. Reply With Quote Reply With Quote Shy is offline Shy 9th June 2008 09:00 PM #5 Shy's Avatar JF Senior Expert Member Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Send a message via Yahoo to Shy Join Date : 2nd November 2006 Posts : 4,743 Rep Power : 34 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. Quote By Mzee Mwanakijiji View Post hivi hiyo KADCO ni ya nani.. nakumbuka kulikuwa na ka kashfa ka aina fulani pale.. KADCO INAMILIKIWA NA WATU ZAIDI YA 3 WENYE HISA PALE MMOJA WAO NI ANALD KILEO HUYU NAFIKIRI UNAMJUA , KUNA MWINGINE JINA LAKE NIMESAHAU LAKINI MAARUFU ZAIDI NI MMOJA ANAYEITWA DAVID MOSHA , YEYE PIA ANA HISA KATIKA BENKI YA AKIBA NA NDIO KATI YA WAANZILISHI KWA UFUPI TU DAVID MOSHI NI MSHIRIKA KATIKA KUANZISHA KAMPUNI MOJA YA CONSULTANCY INAYOITWA INTER CONSULT IKO PALE KIJITONYAMA PAMOJA NA HAYO ALIWAHI KUKOPA ZAIDI YA BIL 1 AKAENDA KUANZISHA KAMPUNI KAMA HYIO MJINI MOSHI DENI HILO BADO HAJALIPA NA KATIKA KASHFA YA EPA MOJA YA KAMPUNI ZAKE ZINAHUSISHWA KWAHIYO WAKATI WOWOTE ANAWEZA KUFILISIWA Unielezee - Uniambiee - Reply With Quote Reply With Quote Reply To Topic Reply to Topic « Previous Topic | Next Topic » Topic Information There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests) Who are WE? JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. You are always welcome! Read more... Where are we? We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually. For anything related to this site please Contact us. Contact us now... DISCLAIMER JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users.. Read more... Forum Rules JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you. You MUST read them and comply accordingly. Read more... Privacy Policy We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. Read our Privacy Policy. Proceed here... Contact Us JamiiForums Archive Privacy Statement Top All times are GMT +4. The time now is 02:08 PM. Home FikraPevu JF Live Chat BLOG CONTACT US Forum Rules JF Mobile Today's Posts Calendar Community Forum Actions Quick Links Home Forum General Forums Jukwaa la Siasa UFISADI mwingine huo hapo. Members: 43,048 Total Topics: 118,456 Total Posts: 2,253,111 Currently Online: 4888 Follow Us Here Follow Us on Buzz Follow Us on Twitter Follow Us on Facebook subscribe to our RSS Follow Us trough Newsletter You are currently viewing our boards as a guest which gives you limited access to several features of the site. You may have to REGISTER before you can post. By joining our community you will be able to post, communicate in Private with other members, download attachments and start your own topics. Registration is fast, simple and FREE so please, join our community today! Topic: UFISADI mwingine huo hapo. Reply To Topic Reply to Topic Share Report Post Results 1 to 5 of 5 LinkBack Topic Tools Rate This Topic Display Indume Yene is offline Indume Yene 9th June 2008 07:08 PM #1 Indume Yene's Avatar JF Premium Member Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Join Date : 17th March 2008 Location : Chumbani Posts : 1,388 Rep Power : 26 Default UFISADI mwingine huo hapo. A row is brewing over the circumstances under which the Ministry of Infrastructure Development directed the Tanzania Ports Authority (TPA) to pay millions of shillings to a UK-based consultancy firm for services it rendered to third parties. The British firm, DLA Piper, was paid for services it had rendered to the Tanzania Airports Authority, which -although also falling under the ministry - is a totally different entity. DLA Piper was asked to carry out a consultancy at the Tanzania Ports Authority (TPA) on two worn-out Single Buoy Mooring (SBM) and Single Point Mooring (SPM) systems at the Dar es Salaam port as well as a consultancy on construction works at the Kilimanjaro and Mwanza airports for the Tanzania Airports Authority (TAA). TAA and TPA both fall under the Ministry of Infrastructure Development. But it is the TPA that was asked to pay for consultancy services towards not only the revival of the SBM and SPM but also the two airports plus another assignment for the Kilimanjaro Airport Development Company Ltd (Kadco). The EastAfrican has learnt that former infrastructure development minister Andrew Chenge - who was recently forced to resign over alleged improper payment in the Watchman radar scandal - is alleged to have asked the TPA to pay for the services rendered for the two airports and Kadco despite the fact that the cost was to be incurred by the TAA. The Ministry of Infrastructure Development directed the TPA to pay DLA Piper $398,322.60 for the consultancy services, although it had already paid $62,956.62 for the consultancy on the SBM and SPM at Dar port. The TPA management initially paid the $62,956.62 in September last year as consultancy fees for services rendered for airports at Mwanza and Kilimanjaro, and the SPM oil-offloading facility at the port. However, it refused to pay the remainder of the money and instead asked the ministry to explain why it was being made to pay for services that were rendered in connection with the two airports, "which had nothing to do with Tanzania Ports Authority and its activities." TPA Director General Ephraim N. Mgawe, in Memo No 5/2008S addressed to the TPA board of directors, said that the authority received the request from the ministry via letter No CMC 13/141/02/Vol.IX/5 of April 9 to pay the $398,322.60 balance owed to DLA Piper. This firm [DLA Piper] was asked by the ministry to provide consultancy on the way forward as regards policy and other legal matters linked with involving the private sector. Besides, the UK firm was also advising the ministry on projects on expansion and construction of airports together with the SPM project at Dar es Salaam port," said Mr Mgawe. According to the TPA, it was neither involved in negotiating the contract with DLA Piper nor was it party to the agreement signed between the parent ministry and the law firm. "The Tanzania Ports Authority wasn't involved in entering the contract with the UK firm. In addition, the Authority wasn't furnished with procedures that were used to employ the consultant and whether the procurement law (PP Act 2004) was followed," said Mr Mgawe. In view of the fact that the beneficiary of the consultancy was the Tanzania Airports Authority, the TPA advised that the request to pay the consultant be directed to TAA. "We don't have any funds that were set aside for such an undertaking as we have a host of other projects that need our attention," said Mr Mgawe. A breakdown of the payments indicates that there were four bills to be settled for consultancy work on Kilimanjaro Airport, while one was for Mwanza Airport. The total for Kilimanjaro Airport was $320,925.41 and that for Mwanza Airport was $77,397.20. The immediate former permanent secretary at the Infrastructure Ministry, Dr Enos Bukuku, who is now one of the three Deputy Governors of the Bank of Tanzania, wrote to the UK firm saying he had directed the TPA to pay them. "I have asked M/S Tanzania Ports Authority to pay your bills on behalf of the Ministry of Infrastructure Development for consultancy work that you have done for the Ministry on Mwanza Airport, SBM, KIA/Kadco and others," said Dr Bukuku in the letter to DLA Piper. Charles Morrison represented DLA Piper, one of the biggest law firms in the UK, in the consultancy. Contacted for comment, the chairman of the TPA board, Raphael Mollel, told The EastAfrican that they had written back to the ministry, indicating that they were not in a position to pay the $398,322.60 that the ministry had asked them to settle. "We told the parent ministry that we couldn't afford to pay the almost Tsh400 million because it wasn't budgeted for and the $62,956.62 we paid was also not our debt," he said. He added that he was not in a position to say whether it was right or wrong for the ministry to instruct TPA to pay for services that were rendered to the Airports Authority. "The two institutions fall under the same ministry and it was the minister's decision to instruct us to pay the debt but, like I said, we weren't in a position to pay," said Mr Mollel. DLA Piper UK has over 2,800 employees and eight offices in major UK commercial centres. In 2006, the firm accepted Ishengoma, Masha, Mujuzi and Magai, Advocates as a member firm in Tanzania of the DLA Piper Group, an alliance of legal practices that includes firms with offices in Australia, Egypt, New Zealand, South Africa, Sweden and Zambia that are affiliated to the organisation but are not themselves members. Ndugu msomaji naamini utajiuliza ni vipi TPA iamrishwe kulipa deni la TAA wakati wenyewe hawakuingia nao mkataba wa Consultancy (PLA Piper) for TAA. Yule yule fisadi Mzee wa Vijisenti, aliyekuwa mshauri Mkuu wa serikali kwenye masuala ya sheria akatumia nafasi yake kama WAZIRI Mawasiliano na Uchukuzi kuwaamuru TPA kulipa deni ambalo si la kwao (Deni la TAA). Na hawa akina Masha, Mujilizi bado tu hawakuona kama kuna mapungufu hapo? Kuna nini hapo jamani....... Nina amini pale KIA kuna mbia, yeye kama mfanyabiashara ambaye vilevile atakuwa kanufaika kwa njia moja au nyingine, yeye mchango wake ulikuwa nini. Kama kuna mbia nafasi yake naye ni vizuri ikawekwa wazi. Isije ikawa kama mambo ya Shirika la Reli. Reply With Quote Reply With Quote Mzee Mwanakijiji is online now Mzee Mwanakijiji 9th June 2008 07:20 PM #2 Mzee Mwanakijiji's Avatar JF Premium Member Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Mzee Mwanakijiji will become famous soon enough Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji Join Date : 10th March 2006 Location : Kijijini Posts : 23,624 Rep Power : 76 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. hivi hiyo KADCO ni ya nani.. nakumbuka kulikuwa na ka kashfa ka aina fulani pale.. mwanakijiji@jamiiforums.com In other countries, "necessity is the mother of invention"; In Tanzania however, "necessity is the mother of corruption". While others are inventing ways to make their lives better, we are doing the opposite! - out of necessity. Reply With Quote Reply With Quote Pundit is offline Pundit 9th June 2008 07:29 PM #3 Pundit's Avatar JF Senior Expert Member Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Pundit is a splendid one to behold Join Date : 4th February 2007 Posts : 3,938 Rep Power : 154 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. The buck stops with JK, JK is the head of state, he is responsible for the appointments of Chenge and Mgawe.Because JK is a mediocre president, his appointments are also mediocre.Chenge is a known corrupt bureaucrat, Mgawe was an assistant port manager (he was not even on TPA's board of directors prior to his appointment and has no senior management experience, for all I know he is still grateful to JK for appointing him out of the blue and can hardly be said to muster the courage to question some nonsensical ministerial directives. Hapa hakuna cha kusema Waziri aliniambia, kama kweli wewe ni mtu wa integrity na Waziri anakuambia utumbo unajiuzulu halafu unafanya press conference unamshtaki kwenye court of public opinion. Kwa kukubali directives za kijinga unakuwa part ya hizo directives. JK, Chenge na huyu Mgawe wote bogus tupu.Board ya TPA nayo bogus kwa kutotetea maslahi ya shareholders wake, sisi wananchi. "We told the parent ministry that we couldn't afford to pay the almost Tsh400 million because it wasn't budgeted for and the $62,956.62 we paid was also not our debt," he said. Wanaleta michezo ya kitoto, sasa kama walijua $ 62, 956.62 sio deni lao kwa nini walilipa? They all should be accountable. Pundit is sitting out Christmas Reply With Quote Reply With Quote Indume Yene is offline Indume Yene 9th June 2008 07:39 PM #4 Indume Yene's Avatar JF Premium Member Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Indume Yene will become famous soon enough Join Date : 17th March 2008 Location : Chumbani Posts : 1,388 Rep Power : 26 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. Pundit, Serikali ya Tanzania hi uozo mtupu, huwezi kuingia mkataba na kampuni au taasisi huku ukijua kuwa huna pesa kwenye bajeti yako kulipa. Yaani ni udanganyifu wa mchana mchana. JK na watu wake ni PANTUPU. Reply With Quote Reply With Quote Shy is offline Shy 9th June 2008 09:00 PM #5 Shy's Avatar JF Senior Expert Member Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Send a message via Yahoo to Shy Join Date : 2nd November 2006 Posts : 4,743 Rep Power : 34 Default Re: UFISADI mwingine huo hapo. Quote By Mzee Mwanakijiji View Post hivi hiyo KADCO ni ya nani.. nakumbuka kulikuwa na ka kashfa ka aina fulani pale.. KADCO INAMILIKIWA NA WATU ZAIDI YA 3 WENYE HISA PALE MMOJA WAO NI ANALD KILEO HUYU NAFIKIRI UNAMJUA , KUNA MWINGINE JINA LAKE NIMESAHAU LAKINI MAARUFU ZAIDI NI MMOJA ANAYEITWA DAVID MOSHA , YEYE PIA ANA HISA KATIKA BENKI YA AKIBA NA NDIO KATI YA WAANZILISHI KWA UFUPI TU DAVID MOSHI NI MSHIRIKA KATIKA KUANZISHA KAMPUNI MOJA YA CONSULTANCY INAYOITWA INTER CONSULT IKO PALE KIJITONYAMA PAMOJA NA HAYO ALIWAHI KUKOPA ZAIDI YA BIL 1 AKAENDA KUANZISHA KAMPUNI KAMA HYIO MJINI MOSHI DENI HILO BADO HAJALIPA NA KATIKA KASHFA YA EPA MOJA YA KAMPUNI ZAKE ZINAHUSISHWA KWAHIYO WAKATI WOWOTE ANAWEZA KUFILISIWA Unielezee - Uniambiee - Reply With Quote Reply With Quote Reply To Topic Reply to Topic « Previous Topic | Next Topic » Topic Information There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests) Who are WE? JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. You are always welcome! Read more... Where are we? We have our offices in Dar es Salaa

 

Friday, July 22, 2011

matukio tanzania

Uchaguzi


Mlolongo wa Habari za Uchaguzi
Mwandishi Maalum's picture

Majeraha ya uchaguzi hadi lini?


Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 11 May 2011
January Makamba
KONGAMANO la siku moja lililolenga kujadili majeraha yaliyotokana na uchaguzi mkuu uliopita, lilifanyika 5 Mei 2011 katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam.
Ezekiel Kamwaga's picture

Kama hatutaki kashfa, tujiandae


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 27 April 2011
WIKI iliyopita, MwanaHALISI liliandika kuhusu mgogoro mkubwa uliopo nchini Ghana sasa ambapo mke wa rais mstaafu wa taifa hilo, Nana Konadu Agyemang, ametangaza kutaka kuwania urais.
Mwandishi wetu's picture

Silinde: Kijana wa CHADEMA aliyeitikisa CCM Mbozi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 16 February 2011
David Sinde, Mbunge wa Mbozi Magharibi
KATIKA kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani kulikuwa na habari nyingi kuhusu baadhi ya wagombea ‘kumwaga’ fedha ili waweze kuchaguliwa.
Mwandishi wetu's picture

Tamko la CHADEMA mauaji Arusha


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 12 January 2011
JUMATANO iliyopita, Jeshi la polisi nchini lilishambulia wanachama, viongozi na wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) waliokuwa wanaelekea katika mkutano wa hadhara uliopangwa kufanyika katika uwanja wa Unga Limited, ambapo watu watatu inadaiwa walikufa na wengine kadhaa kujeruhiwa. Kufuatia tukio hilo, CHADEMA makao makuu ilitoa tamko lililosomwa kwa waandishi wa habari na mwanasheria wa chama hicho, Mabere Marando, 6 Januari 2011. Ifuatayo ni sehemu ya maelezo hayo…
editor's picture

CCM ikubali kushindwa


Na editor - Imechapwa 29 December 2010
TANGU kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini matukio mengi yametokea ikiwa ni mwendelezo na utamaduni uliozoeleka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini katika mabavu.
Joster Mwangulumbi's picture

Viongozi wa kuchongwa hawajali haki


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 29 December 2010
SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongeza makucha yake ya udikteta kwa kukandamiza haki na demokrasia.
Saed Kubenea's picture

Urais wa Kikwete utata mtupu


Na Saed Kubenea - Imechapwa 15 December 2010
Rais Jakaya Kikwete
MATOKEO ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani wa Oktoba mwaka huu, yanazidi kuzua utata, MwanaHALISI limeelezwa.
M. M. Mwanakijiji's picture

Dk. Slaa hekima imepita kiti cha enzi


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 15 December 2010
Dk. Willibrod Slaa
MOJA ya makala niliyoandika mara baada ya uchaguzi mkuu, ilihusu kiongozi mmoja wa kale ambaye dini zote kubwa za Uyahudi, Uislamu na Ukristu zinamtambua kutokana na uongozi wake wa hekima.
Ezekiel Kamwaga's picture

Ni kufa na kupona vita vya umeya Dar


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 08 December 2010
WAGOMBEA umeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Dar es Salaam watatoana ngeu.
Mwandishi wetu's picture

Chagulani: CHADEMA itatoa elimu bure Jiji la Mwanza


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 24 November 2010
KATIKA umri wa miaka 25 Chagulani Adams Ibrahim anajiandaa kuweka historia katika Mkoa wa Mwanza kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza.
Nkwazi Mhango's picture

Kilichomwangusha Kikwete hiki


Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 24 November 2010
Rais Jakaya Kikwete
KUNA mambo mengi yaliyosababisha kuanguka vibaya kwa Rais Jakaya Kikwete na chama chake katika uchaguzi uliopita.
M. M. Mwanakijiji's picture

JK na kibarua kigumu


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 24 November 2010
Miaka mitano iliyopita, tunaweza kuitafutia udhuru wowote ule kueleza kwa nini baadhi ya mambo hayakufanikiwa. Tunaweza kutafuta sababu ya kwanini baadhi ya mambo yalifanyika na mengine hayakufanyika kama ilivyotarajiwa.
Karoli Bahati's picture

Hotuba ya rais imepuuza mambo muhimu


Na Karoli Bahati - Imechapwa 24 November 2010
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete ya uzinduzi wa Bunge la 10 uliofanyika 18 Novemba, 2010 mjini Dodoma, imenigusa sana na kunichokoza. Vizuri niijadili.
Saed Kubenea's picture

Dk. Slaa: Tutamshitaki JK


Na Saed Kubenea - Imechapwa 24 November 2010
Dk. Willibrod Slaa, Katibu Mkuu CHADEMA
RAIS Jakaya Kikwete anaweza kujiingiza katika mgogoro wa kisiasa na kidiplomasia, iwapo atashindwa kuchukua hatua za kuandika Katiba mpya na kuwa na tume huru ya uchaguzi, MwanaHALISI limeelezwa.
Ndimara Tegambwage's picture

Katiba mpya ndilo jibu pekee


Na Ndimara Tegambwage - Imechapwa 24 November 2010
Wabunge wa CHADEMA wakitoka ndani Bunge
BAADA ya wabunge wa CHADEMA kumwacha Rais Jakaya Kikwete bungeni, kwa shabaha ya kusisitiza umuhimu wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, watawala wameweweseka.
Joster Mwangulumbi's picture

Ujanja kuwahi na kupata


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 17 November 2010
SIRI ni ya mtu mmoja, wakiwa wawili hiyo si siri tena. Mmoja kati yao, atapata joto moyoni, atafurukutwa; na dawa ya utulivu huo ni kuweka wazi mpango wa siri alioshirikishwa.
Mwandishi wetu's picture

Kasulumbayi: Nimeshinda kwa nguvu ya umma


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 17 November 2010
Sylvester Kasulumbayi Mhoja
JAPOKUWA kinadharia kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu zilitawaliwa na matumizi makubwa ya fedha, wako wabunge wanaoweza kujitokeza kifua mbele na kusema hawakushinda kwa nguvu ya fedha ila nguvu ya umma.
M. M. Mwanakijiji's picture

Hesabu za waliopiga kura haziingii akilini


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 17 November 2010
MWALIMU wangu wa Hisabati alinifundisha ukweli mmoja. Kwamba hesabu ikifuata kanuni zake, haiwezi kutoa jawabu tofauti hata kama zimefanywa kijijini Msalato au Washington, Marekani.
Ezekiel Kamwaga's picture

Prof Lipumba: ‘Rais’ bora anyekosa kura za kutosha


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 17 November 2010
Profesa Ibrahim Lipumba
WIKI iliyopita nilieleza kwa ujumla sifa za aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ikilinganishwa na waliokuwa wapinzani wake katika uchaguzi uliopita.
Mwandishi wetu's picture

MwanaHALISI laipa kiwewe CCM


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 17 November 2010
GAZETI la MwanaHALISI linaandaliwa mikakati ya “kuzimwa” kwa madai kuwa ni moja ya vyombo vilivyokosesha Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu uliopita.
Ndimara Tegambwage's picture

Tanzania: Nchi moja, ma-rais wawili


Na Ndimara Tegambwage - Imechapwa 10 November 2010
Rais Jakaya Kikwete
JAKAYA Mrisho Kikwete amewataka waandishi wa habari kusaidia kuponya majeraha “yaliyotokana na uchaguzi mkuu.”
editor's picture

CCM wanahatarisha amani, mshikamano


Na editor - Imechapwa 10 November 2010
MARA baada ya kuapishwa kushika kipindi cha pili cha uongozi wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai kwa Watanzania wote na hasa wanasiasa wa vyama vya upinzani kusaidia juhudi za kutibu majeraha ya udini yaliyosababishwa na kampeni.
Joster Mwangulumbi's picture

Urais mchezo wa karata tatu


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 10 November 2010
MCHEZO wa karata tatu huwa haumaliziki salama. Wachezeshaji, wanapoona wanazidi kuliwa hulazimisha ushindi.
Mwandishi wetu's picture

Baruany: Kiboko cha Abdulaziz


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 10 November 2010
SALUM Khafan Nassor Baruany (51), mbunge mteule wa Jimbo la Lindi Mjini, ameweka historia ya kuwa mtu wa kwanza nchini mwenye ulemavu wa ngozi (albino) kushika wadhifa huo kupitia njia ya kuchaguliwa na wananchi.
Hilal K. Sued's picture

‘Vyama vya msimu’ vyatibua ushindi wa kishindo wa CCM


Na Hilal K. Sued - Imechapwa 10 November 2010
MARA nyingi washindi huwa wanatamba; “Uwe halali, wa mizengwe au wa kupora ushindi ni ushindi.” Haya ni maneno ya kishabiki maarufu kwa mashabiki wa mpira ambao baada ya mechi watazungumzia kwenye vijiwe vyao namna ushindi ulivyopatikana.
M. M. Mwanakijiji's picture

Marmo, Masha wametuachia fundisho


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 10 November 2010
Laurence Masha
WANANCHI wa Mbulu, mkoani Manyara na Nyamagana mkoani Mwanza, wamechukua uamuzi sahihi. Wamekataa kuburuzwa na wale walijipachika “Umungu mtu” – Laurence Masha (Nyamagana) na Phillip Marmo (Mbulu).
Joster Mwangulumbi's picture

Demokrasia ya vitisho, wizi wa kura


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 10 November 2010
MTU yeyote anayejitokeza kuwa kiongozi au mfuasi wa chama cha upinzani Tanzania ni lazima ajiandae kupata changamoto nyingi kama kutengwa na kuchafuliwa.
Ezekiel Kamwaga's picture

Profesa Lipumba: 'Rais' bora anayekosa kura za kutosha


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 10 November 2010
SIKU moja niliota ndoto kwamba mimi ni mpiga kura wa mwisho katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania. Kabla ya kwenda kupiga kura yangu tayari niliambiwa kwamba wagombea urais wamefungana kwa kura.
Mwandishi wetu's picture

Askofu huyu katumwa na nani?


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 10 November 2010
ASKOFU wa Kanisa Katoliki anategemewa azungumze mambo ya maadili na imani. Anatarajiwa afundishe mafundisho ya kanisa, yasiyoegemea upande wowote wa kisiasa kwa kuwa yeye ana waumini wa vyama mbalimbali katika kanisa lake analoliongoza.
Saed Kubenea's picture

Dk. Slaa: Uchaguzi wizi mtupu


Na Saed Kubenea - Imechapwa 10 November 2010
Dk. Willibrod Slaa
MATOKEO ya uchaguzi mkuu yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yamejaa utata, MwanaHALISI limegundua.