Uchaguzi
Mlolongo wa Habari za Uchaguzi
Majeraha ya uchaguzi hadi lini?
Kama hatutaki kashfa, tujiandae
WIKI iliyopita, MwanaHALISI liliandika kuhusu mgogoro mkubwa uliopo nchini Ghana sasa ambapo mke wa rais mstaafu wa taifa hilo, Nana Konadu Agyemang, ametangaza kutaka kuwania urais.
Silinde: Kijana wa CHADEMA aliyeitikisa CCM Mbozi
Tamko la CHADEMA mauaji Arusha
JUMATANO iliyopita, Jeshi la polisi nchini lilishambulia wanachama, viongozi na wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) waliokuwa wanaelekea katika mkutano wa hadhara uliopangwa kufanyika katika uwanja wa Unga Limited, ambapo watu watatu inadaiwa walikufa na wengine kadhaa kujeruhiwa. Kufuatia tukio hilo, CHADEMA makao makuu ilitoa tamko lililosomwa kwa waandishi wa habari na mwanasheria wa chama hicho, Mabere Marando, 6 Januari 2011. Ifuatayo ni sehemu ya maelezo hayo…
CCM ikubali kushindwa
TANGU kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini matukio mengi yametokea ikiwa ni mwendelezo na utamaduni uliozoeleka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini katika mabavu.
Viongozi wa kuchongwa hawajali haki
SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongeza makucha yake ya udikteta kwa kukandamiza haki na demokrasia.
Urais wa Kikwete utata mtupu
Dk. Slaa hekima imepita kiti cha enzi
Ni kufa na kupona vita vya umeya Dar
WAGOMBEA umeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Dar es Salaam watatoana ngeu.
Chagulani: CHADEMA itatoa elimu bure Jiji la Mwanza
KATIKA umri wa miaka 25 Chagulani Adams Ibrahim anajiandaa kuweka historia katika Mkoa wa Mwanza kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza.
Kilichomwangusha Kikwete hiki
JK na kibarua kigumu
Miaka mitano iliyopita, tunaweza kuitafutia udhuru wowote ule kueleza kwa nini baadhi ya mambo hayakufanikiwa. Tunaweza kutafuta sababu ya kwanini baadhi ya mambo yalifanyika na mengine hayakufanyika kama ilivyotarajiwa.
Hotuba ya rais imepuuza mambo muhimu
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete ya uzinduzi wa Bunge la 10 uliofanyika 18 Novemba, 2010 mjini Dodoma, imenigusa sana na kunichokoza. Vizuri niijadili.
Dk. Slaa: Tutamshitaki JK
Katiba mpya ndilo jibu pekee
Ujanja kuwahi na kupata
SIRI ni ya mtu mmoja, wakiwa wawili hiyo si siri tena. Mmoja kati yao, atapata joto moyoni, atafurukutwa; na dawa ya utulivu huo ni kuweka wazi mpango wa siri alioshirikishwa.
Kasulumbayi: Nimeshinda kwa nguvu ya umma
Hesabu za waliopiga kura haziingii akilini
MWALIMU wangu wa Hisabati alinifundisha ukweli mmoja. Kwamba hesabu ikifuata kanuni zake, haiwezi kutoa jawabu tofauti hata kama zimefanywa kijijini Msalato au Washington, Marekani.
Prof Lipumba: ‘Rais’ bora anyekosa kura za kutosha
MwanaHALISI laipa kiwewe CCM
GAZETI la MwanaHALISI linaandaliwa mikakati ya “kuzimwa” kwa madai kuwa ni moja ya vyombo vilivyokosesha Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu uliopita.
Tanzania: Nchi moja, ma-rais wawili
CCM wanahatarisha amani, mshikamano
MARA baada ya kuapishwa kushika kipindi cha pili cha uongozi wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai kwa Watanzania wote na hasa wanasiasa wa vyama vya upinzani kusaidia juhudi za kutibu majeraha ya udini yaliyosababishwa na kampeni.
Urais mchezo wa karata tatu
MCHEZO wa karata tatu huwa haumaliziki salama. Wachezeshaji, wanapoona wanazidi kuliwa hulazimisha ushindi.
Baruany: Kiboko cha Abdulaziz
SALUM Khafan Nassor Baruany (51), mbunge mteule wa Jimbo la Lindi Mjini, ameweka historia ya kuwa mtu wa kwanza nchini mwenye ulemavu wa ngozi (albino) kushika wadhifa huo kupitia njia ya kuchaguliwa na wananchi.
‘Vyama vya msimu’ vyatibua ushindi wa kishindo wa CCM
MARA nyingi washindi huwa wanatamba; “Uwe halali, wa mizengwe au wa kupora ushindi ni ushindi.” Haya ni maneno ya kishabiki maarufu kwa mashabiki wa mpira ambao baada ya mechi watazungumzia kwenye vijiwe vyao namna ushindi ulivyopatikana.
Marmo, Masha wametuachia fundisho
Demokrasia ya vitisho, wizi wa kura
MTU yeyote anayejitokeza kuwa kiongozi au mfuasi wa chama cha upinzani Tanzania ni lazima ajiandae kupata changamoto nyingi kama kutengwa na kuchafuliwa.
Profesa Lipumba: 'Rais' bora anayekosa kura za kutosha
SIKU moja niliota ndoto kwamba mimi ni mpiga kura wa mwisho katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania. Kabla ya kwenda kupiga kura yangu tayari niliambiwa kwamba wagombea urais wamefungana kwa kura.
Askofu huyu katumwa na nani?
ASKOFU wa Kanisa Katoliki anategemewa azungumze mambo ya maadili na imani. Anatarajiwa afundishe mafundisho ya kanisa, yasiyoegemea upande wowote wa kisiasa kwa kuwa yeye ana waumini wa vyama mbalimbali katika kanisa lake analoliongoza.
No comments:
Post a Comment