Friday, July 22, 2011

matukio tanzania

Uchaguzi


Mlolongo wa Habari za Uchaguzi
Mwandishi Maalum's picture

Majeraha ya uchaguzi hadi lini?


Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 11 May 2011
January Makamba
KONGAMANO la siku moja lililolenga kujadili majeraha yaliyotokana na uchaguzi mkuu uliopita, lilifanyika 5 Mei 2011 katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam.
Ezekiel Kamwaga's picture

Kama hatutaki kashfa, tujiandae


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 27 April 2011
WIKI iliyopita, MwanaHALISI liliandika kuhusu mgogoro mkubwa uliopo nchini Ghana sasa ambapo mke wa rais mstaafu wa taifa hilo, Nana Konadu Agyemang, ametangaza kutaka kuwania urais.
Mwandishi wetu's picture

Silinde: Kijana wa CHADEMA aliyeitikisa CCM Mbozi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 16 February 2011
David Sinde, Mbunge wa Mbozi Magharibi
KATIKA kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani kulikuwa na habari nyingi kuhusu baadhi ya wagombea ‘kumwaga’ fedha ili waweze kuchaguliwa.
Mwandishi wetu's picture

Tamko la CHADEMA mauaji Arusha


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 12 January 2011
JUMATANO iliyopita, Jeshi la polisi nchini lilishambulia wanachama, viongozi na wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) waliokuwa wanaelekea katika mkutano wa hadhara uliopangwa kufanyika katika uwanja wa Unga Limited, ambapo watu watatu inadaiwa walikufa na wengine kadhaa kujeruhiwa. Kufuatia tukio hilo, CHADEMA makao makuu ilitoa tamko lililosomwa kwa waandishi wa habari na mwanasheria wa chama hicho, Mabere Marando, 6 Januari 2011. Ifuatayo ni sehemu ya maelezo hayo…
editor's picture

CCM ikubali kushindwa


Na editor - Imechapwa 29 December 2010
TANGU kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini matukio mengi yametokea ikiwa ni mwendelezo na utamaduni uliozoeleka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini katika mabavu.
Joster Mwangulumbi's picture

Viongozi wa kuchongwa hawajali haki


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 29 December 2010
SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongeza makucha yake ya udikteta kwa kukandamiza haki na demokrasia.
Saed Kubenea's picture

Urais wa Kikwete utata mtupu


Na Saed Kubenea - Imechapwa 15 December 2010
Rais Jakaya Kikwete
MATOKEO ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani wa Oktoba mwaka huu, yanazidi kuzua utata, MwanaHALISI limeelezwa.
M. M. Mwanakijiji's picture

Dk. Slaa hekima imepita kiti cha enzi


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 15 December 2010
Dk. Willibrod Slaa
MOJA ya makala niliyoandika mara baada ya uchaguzi mkuu, ilihusu kiongozi mmoja wa kale ambaye dini zote kubwa za Uyahudi, Uislamu na Ukristu zinamtambua kutokana na uongozi wake wa hekima.
Ezekiel Kamwaga's picture

Ni kufa na kupona vita vya umeya Dar


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 08 December 2010
WAGOMBEA umeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Dar es Salaam watatoana ngeu.
Mwandishi wetu's picture

Chagulani: CHADEMA itatoa elimu bure Jiji la Mwanza


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 24 November 2010
KATIKA umri wa miaka 25 Chagulani Adams Ibrahim anajiandaa kuweka historia katika Mkoa wa Mwanza kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza.
Nkwazi Mhango's picture

Kilichomwangusha Kikwete hiki


Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 24 November 2010
Rais Jakaya Kikwete
KUNA mambo mengi yaliyosababisha kuanguka vibaya kwa Rais Jakaya Kikwete na chama chake katika uchaguzi uliopita.
M. M. Mwanakijiji's picture

JK na kibarua kigumu


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 24 November 2010
Miaka mitano iliyopita, tunaweza kuitafutia udhuru wowote ule kueleza kwa nini baadhi ya mambo hayakufanikiwa. Tunaweza kutafuta sababu ya kwanini baadhi ya mambo yalifanyika na mengine hayakufanyika kama ilivyotarajiwa.
Karoli Bahati's picture

Hotuba ya rais imepuuza mambo muhimu


Na Karoli Bahati - Imechapwa 24 November 2010
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete ya uzinduzi wa Bunge la 10 uliofanyika 18 Novemba, 2010 mjini Dodoma, imenigusa sana na kunichokoza. Vizuri niijadili.
Saed Kubenea's picture

Dk. Slaa: Tutamshitaki JK


Na Saed Kubenea - Imechapwa 24 November 2010
Dk. Willibrod Slaa, Katibu Mkuu CHADEMA
RAIS Jakaya Kikwete anaweza kujiingiza katika mgogoro wa kisiasa na kidiplomasia, iwapo atashindwa kuchukua hatua za kuandika Katiba mpya na kuwa na tume huru ya uchaguzi, MwanaHALISI limeelezwa.
Ndimara Tegambwage's picture

Katiba mpya ndilo jibu pekee


Na Ndimara Tegambwage - Imechapwa 24 November 2010
Wabunge wa CHADEMA wakitoka ndani Bunge
BAADA ya wabunge wa CHADEMA kumwacha Rais Jakaya Kikwete bungeni, kwa shabaha ya kusisitiza umuhimu wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, watawala wameweweseka.
Joster Mwangulumbi's picture

Ujanja kuwahi na kupata


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 17 November 2010
SIRI ni ya mtu mmoja, wakiwa wawili hiyo si siri tena. Mmoja kati yao, atapata joto moyoni, atafurukutwa; na dawa ya utulivu huo ni kuweka wazi mpango wa siri alioshirikishwa.
Mwandishi wetu's picture

Kasulumbayi: Nimeshinda kwa nguvu ya umma


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 17 November 2010
Sylvester Kasulumbayi Mhoja
JAPOKUWA kinadharia kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu zilitawaliwa na matumizi makubwa ya fedha, wako wabunge wanaoweza kujitokeza kifua mbele na kusema hawakushinda kwa nguvu ya fedha ila nguvu ya umma.
M. M. Mwanakijiji's picture

Hesabu za waliopiga kura haziingii akilini


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 17 November 2010
MWALIMU wangu wa Hisabati alinifundisha ukweli mmoja. Kwamba hesabu ikifuata kanuni zake, haiwezi kutoa jawabu tofauti hata kama zimefanywa kijijini Msalato au Washington, Marekani.
Ezekiel Kamwaga's picture

Prof Lipumba: ‘Rais’ bora anyekosa kura za kutosha


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 17 November 2010
Profesa Ibrahim Lipumba
WIKI iliyopita nilieleza kwa ujumla sifa za aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ikilinganishwa na waliokuwa wapinzani wake katika uchaguzi uliopita.
Mwandishi wetu's picture

MwanaHALISI laipa kiwewe CCM


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 17 November 2010
GAZETI la MwanaHALISI linaandaliwa mikakati ya “kuzimwa” kwa madai kuwa ni moja ya vyombo vilivyokosesha Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu uliopita.
Ndimara Tegambwage's picture

Tanzania: Nchi moja, ma-rais wawili


Na Ndimara Tegambwage - Imechapwa 10 November 2010
Rais Jakaya Kikwete
JAKAYA Mrisho Kikwete amewataka waandishi wa habari kusaidia kuponya majeraha “yaliyotokana na uchaguzi mkuu.”
editor's picture

CCM wanahatarisha amani, mshikamano


Na editor - Imechapwa 10 November 2010
MARA baada ya kuapishwa kushika kipindi cha pili cha uongozi wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai kwa Watanzania wote na hasa wanasiasa wa vyama vya upinzani kusaidia juhudi za kutibu majeraha ya udini yaliyosababishwa na kampeni.
Joster Mwangulumbi's picture

Urais mchezo wa karata tatu


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 10 November 2010
MCHEZO wa karata tatu huwa haumaliziki salama. Wachezeshaji, wanapoona wanazidi kuliwa hulazimisha ushindi.
Mwandishi wetu's picture

Baruany: Kiboko cha Abdulaziz


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 10 November 2010
SALUM Khafan Nassor Baruany (51), mbunge mteule wa Jimbo la Lindi Mjini, ameweka historia ya kuwa mtu wa kwanza nchini mwenye ulemavu wa ngozi (albino) kushika wadhifa huo kupitia njia ya kuchaguliwa na wananchi.
Hilal K. Sued's picture

‘Vyama vya msimu’ vyatibua ushindi wa kishindo wa CCM


Na Hilal K. Sued - Imechapwa 10 November 2010
MARA nyingi washindi huwa wanatamba; “Uwe halali, wa mizengwe au wa kupora ushindi ni ushindi.” Haya ni maneno ya kishabiki maarufu kwa mashabiki wa mpira ambao baada ya mechi watazungumzia kwenye vijiwe vyao namna ushindi ulivyopatikana.
M. M. Mwanakijiji's picture

Marmo, Masha wametuachia fundisho


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 10 November 2010
Laurence Masha
WANANCHI wa Mbulu, mkoani Manyara na Nyamagana mkoani Mwanza, wamechukua uamuzi sahihi. Wamekataa kuburuzwa na wale walijipachika “Umungu mtu” – Laurence Masha (Nyamagana) na Phillip Marmo (Mbulu).
Joster Mwangulumbi's picture

Demokrasia ya vitisho, wizi wa kura


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 10 November 2010
MTU yeyote anayejitokeza kuwa kiongozi au mfuasi wa chama cha upinzani Tanzania ni lazima ajiandae kupata changamoto nyingi kama kutengwa na kuchafuliwa.
Ezekiel Kamwaga's picture

Profesa Lipumba: 'Rais' bora anayekosa kura za kutosha


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 10 November 2010
SIKU moja niliota ndoto kwamba mimi ni mpiga kura wa mwisho katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania. Kabla ya kwenda kupiga kura yangu tayari niliambiwa kwamba wagombea urais wamefungana kwa kura.
Mwandishi wetu's picture

Askofu huyu katumwa na nani?


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 10 November 2010
ASKOFU wa Kanisa Katoliki anategemewa azungumze mambo ya maadili na imani. Anatarajiwa afundishe mafundisho ya kanisa, yasiyoegemea upande wowote wa kisiasa kwa kuwa yeye ana waumini wa vyama mbalimbali katika kanisa lake analoliongoza.
Saed Kubenea's picture

Dk. Slaa: Uchaguzi wizi mtupu


Na Saed Kubenea - Imechapwa 10 November 2010
Dk. Willibrod Slaa
MATOKEO ya uchaguzi mkuu yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yamejaa utata, MwanaHALISI limegundua.

No comments:

Post a Comment